Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,347
- 6,652
Upo sahihi kabisa mkuu
Huyu mama alikua BMT na akaja kuwa chini ya Leonard Thadeo Kama Mkurugenzi msaidizi wa Michezo, alifariki lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi kabisa mkuu
Mwaka juzi nadhani, kabla ya huo wadhifa alikuwa CHANETAMkuu huyo alikua mkurugenzi msaidizi wa michezo wizara ya habari utamaduni na michezo, alifariki lini? Alikua chini ya Leonard Thadeyo
Amefariki miaka miwili au mitatu sasa imepitaHuyu mama alikua BMT na akaja kuwa chini ya Leonard Thadeo Kama Mkurugenzi msaidizi wa Michezo, alifariki lini?
Kama wana Yanga wamemsahau Prof Dusan Condic basi atakuwa hawana shukrani.
Huyu mchawi wa kiserbia ndiyo aliyekuja kuwapa Yanga ubingwa baada ya kuukosa Miaka mingi mfululizo.
Lakini huyu jamaa ndiye aliyekuja kuufuta uteja wa Yanga kwa Simba uliodumu kwa miaka 12 mfululizo.
Kumbukeni kikosi cha Yanga cha kina
Obren cirkovic
Ivo Mapunda
Shadrack Nsajigwa
Godfrey Bonny
Rashid Gumbo
Wisdom ndlovu
James chilaponda
Credo mwaipopo
Fred Mbuna
Shamte Ally
Nabir cannavaro
Boniface Ambani
George Owino
John Baraza
Edwin Bukenya
Athuman Idd chuji
Gaudence mwaikimba
Ndiyo nilikuwa kikosi Bora kabisa cha Yanga cha karne ya 21.
Tuweke kumbukumbu sawa sawa Zahera hajafikia hata mafanikio ya Sam Timbe au Hans Van del pluijm.
Amefariki miaka miwili au mitatu sasa imepita
Aliugua ghafla mkuuAisee Sina habari hiyo, aliugua ghafla ama? Sikupata taarifa kabisa
Aliugua ghafla mkuu
AaminApumzike kwa amani
Huyu mromani alikuwa kichwa kweliProf Victor Stanslescu.
Simba vs Stella abjan way back 1993Hiyo fainali mlicheza na nani? Acheni kuropoka muwe mnauliza
Simba vs Stella abjan way back 1993
Kocha mzee kibadeni
Mkuu hii user name yako naikubali sana in latin maximNikajua umemsema Mzee Siang'a
Pamoja mkuuMkuu hii user name yako naikubali sana in latin maxim
Nakubaliana na wewePOPADIC ..wachache watanielewa
Una ufala sanaJuliana Matagi Ya Soda