Yupi ni kocha bora wa kigeni kuwahi kufundisha ligi ya Bongo?


Kukawa na Maurice Sunguti, umenikumbusha shamba la bibi miaka ya 2008, huyo baraza huyo alimshikisha beki wa Mji Mpwapwa ndani ya kumi na nane enzi hizo, beki alienda kukaba akiwa katanua mikono jamaa akambetulia mpira ilikua ndani ya Jamhuri Moro
 
papa zahera alituingiza sana mkenge yanga! kapewa nafasi ya ukocha yeye kajiongezea majukumu, msemaji wa klabu yeye, mdhamini wa club yeye, muhamasishaji yeye! aliyekuwa analia kwa ajili ya klabu yeye (hapa alitushinda mpaka mashabiki kulia kwa sababu ya yanga

sasa kwa nini asiwe yeye kocha bora
 
James Siang'a aliifanya Simba S. C kutisha kipindi chake.

Tambwe Leya kupitia vijana wadogo wa Yanga aliifanya timu ya kutisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…