Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Shukran kwako pia tunapokutana hivi na kukumbuka mambo yaliyo tokea miaka 27 iliyopita waqt mwingine unaona kama jana enzi hizo mechi ya kombe la dunia inachezwa leo basi ninyi huku mnaangalia recoded baada ya siku tatu.heshima kwako mkuu,ni kosa kubwa kusoma comment yako bila ya ku like