Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wa Tukuyu unawajua wa kyela? Kyela zao misambwanda, kyela kuvaa tuu kyela shereheewanawake wa kinyaki sema wanafanya kazi badalaa ukiwaona kwenye daladala za mbalizi na madishi ya parachichi wanawahi mwanjelwa soko matola na Nane Nane
ngoja siku nikija Mbeya niende tukuyu nione wanyaki wakyela wanatofauti Gani na wa MbaliziHao wa Tukuyu unawajua wa kyela? Kyela zao misambwanda, kyela kuvaa tuu kyela sherehee
Njoo matema au ipinda tukuyu bado sanangoja siku nikija Mbeya niende tukuyu nione wanyaki wakyela wanatofauti Gani na wa Mbalizi
Na hii ni chai ya mufindiLakini pia ukimuoa mmoja wa nakuja kwako kukaa ukoo mzima, utasikia huyu mtoto wa shangazi gwangu, Mara huyu mtoto wa binamu yangu, alafu wanajaa huku wavivu wanakula tu weusi wamenenepeana balaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lakini pia ukimuoa mmoja wa nakuja kwako kukaa ukoo mzima, utasikia huyu mtoto wa shangazi gwangu, Mara huyu mtoto wa binamu yangu, alafu wanajaa huku wavivu wanakula tu weusi wamenenepeana balaa
Hapa umedanganya mkuu. Ni kweli tabia alizoinisha mtoa mada wanazo ila hili la kwako ni uongoLakini pia ukimuoa mmoja wa nakuja kwako kukaa ukoo mzima, utasikia huyu mtoto wa shangazi gwangu, Mara huyu mtoto wa binamu yangu, alafu wanajaa huku wavivu wanakula tu weusi wamenenepeana balaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanawake wa kinyakyusa hawana tatizo