Yupo Wapi Barbara wa Clouds Fm

[emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe nawe huelewagi vaa yake anajikuta Mama Africa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baby ujuaji mwingi kuna wakati wanajisahau ni kama wanakua wanapiga story
 
[emoji3][emoji3]nakumbuka siku ile picha ninayo
 
Kuna siku nilimuona TCRA pale,..Live anaonekana angalau mzuri kuliko akiwa kwny tv,

Kwa Watangazaji wa kike wana0jua kufanyia watu mahojiano nadhani Salama Jabar is the best!

Tatizo Clouds utani mwingi na mazoea!
Utani unazidi sana hapo nakubali hasa kipindi Cha jahaz
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mungu ana kuona
 
Ni muda sasa toka mwaka huu uanze hasikiki kwenye kipindi cha Power Break Fast
Mwanamama huyu mwenye haiba ya kiburi na jeuiri mbele ya watangazaji wenzie hajasikika, pengine wanaojua watujuze alipo
Au ndio keshaliwa kichwa pale mjengoni
Thithi tunamjua Barbara wa ze Animals🦁
 
Hahahaha nakuombea wakualike utusaidie kufikisha maduku duku yetu
 
Siku ukiona kuna mgeni anawapopoa alafu watamtimua kwenye kipindi basi usijiulize nitakuwa mimi maana najua kwa nilivyojipanga lazima wamuite Aly kashimiri na Haris wanitoe nje .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aminia kikubwa ujumbe utakua umewafikia na ukitaka ulinzi niite [emoji123]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…