ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,891
- 13,750
[emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe nawe huelewagi vaa yake anajikuta Mama AfricaNi much know sana yule mama,
Nimependa Zuhura alivyowakosoa kiheshima,
Babie anajikuta Mmarekani na ongea yake haraka haraka yenye kelele,
Ila jamani sijawahi kuelewa dress codes za Babie, kuna siku alituvalia mblauzi mrefu, bwanga na raba nilicheka hadi machozi
Sent using Jamii Forums mobile app