Yupo Wapi Barbara wa Clouds Fm

Hamis Tambwe?😆😆
 
Muda wa kipindi hautoshi ndo maana huwa wanaongea kama wanakimbizwa, labda muda wa kipindi uongezwe at least kianze saa moja
 
Hivi uliona alichovaa kwenye miaka 2 ya samia mlimani city 😂😂
 
Mara ya kwanza kumsikia huyu Dada ni kwenye ile ngoma ya Mwana FA.. 'unanitega'... Alipewa ka autro kule mwishoni..

Aisee nijua ni bonge la mtoto.. loh! Contrary..
Aisee! Nilidhani ni mimi tu ndio nilikuwa najenga picha ya bonge mmoja la mtoto, kumbe sio peke yangu!
 
Kuna siku nilimuona TCRA pale,..Live anaonekana angalau mzuri kuliko akiwa kwny tv,

Kwa Watangazaji wa kike wana0jua kufanyia watu mahojiano nadhani Salama Jabar is the best!

Tatizo Clouds utani mwingi na mazoea!
Honestly, Salama is the Best.
 
Aisee bora umesema..sidhan kama ana nguo ya kueleweka..zote sijui sagula sagula za wapi...nakumbuka na mm nimeewah muona na pigo hizo...aarggg...amuige yule sister wa tbc somebody Mramba
 
Aisee..
 
🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…