Yupo Wapi Barbara wa Clouds Fm

Kama Jana huyo bby kambully mgeni Sana Hadi kero yaani,,yaani Ni Kama yeye ndio mgeni anaboa yaani
 
Babra Ile kuwakatia majani wenzake hewani ni utani tu jamani..wa kusisimua vipindi sio mtangazaji unakuwa seriuoooos kama mtoa majibu ya UKIMWI... Wale wa...mpendwa msikilizaji hebu tupate ujumbe mfupi hahaaaa mie namuelewa sana sana Babra haboi na hapoi ..
 
Yuko wap
 
Kuna yule dogo wa wasafi TV kipindi cha msumari wa moto asee anajua kufanya interviews balaa

Anatoa mpk reference,na nukuu mbalimbali ndio anauliza swali unaona kazi huyu ana taaluma
Kinakuwagq saa ngapi? Juma ngapi na mimi nifuatilie
 
Vipindi vyote vya michezo ea radio jamaa Wana wachambuzi wanapiga kelele vibaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…