James Gatz
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 301
- 319
Hizo sio falsafa yakeAH wapi kote huko ya kazi.gani? Nguo za uturuki zimejaa mjini...hajiweki expensive
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo sio falsafa yakeAH wapi kote huko ya kazi.gani? Nguo za uturuki zimejaa mjini...hajiweki expensive
Kama Jana huyo bby kambully mgeni Sana Hadi kero yaani,,yaani Ni Kama yeye ndio mgeni anaboa yaaniWana kelele wale wamama wawili Babra na Baby hadi kero, mgeni haojiwi vizuri wanakua wanamuuliza maswali na kujijibu wao,
Hata hivyo napenda utangazaji wa Babra kuliko Baby, Baby anatabia ya kumkatisha mtu akiwa anaongea na anataka aongee yeye mwanzo mwisho, hua sipendi kua kwenye mazungumzo na watu wa dizaini yake.
Yuko wapBabra Ile kuwakatia majani wenzake hewani ni utani tu jamani..wa kusisimua vipindi sio mtangazaji unakuwa seriuoooos kama mtoa majibu ya UKIMWI... Wale wa...mpendwa msikilizaji hebu tupate ujumbe mfupi hahaaaa mie namuelewa sana sana Babra haboi na hapoi ..
Ukiona hivyo basi tumboni huwa amechanganya mo juice na mandazi ya BakhresaHuwa amekaa kama anataka kuondoka
Kinakuwagq saa ngapi? Juma ngapi na mimi nifuatilieKuna yule dogo wa wasafi TV kipindi cha msumari wa moto asee anajua kufanya interviews balaa
Anatoa mpk reference,na nukuu mbalimbali ndio anauliza swali unaona kazi huyu ana taaluma
Vipindi vyote vya michezo ea radio jamaa Wana wachambuzi wanapiga kelele vibayaKuna siku nilikua naangalia kipindi cha sport cha EATV, mtangazaji aliwaalika wachambuzi wawili aise jamaa mmoja alikua anataka kuongea peke yake na kuwatoa ufahamu wenzie kua hawajui kitu, ilikua kazi kwa mtangazaji kumkatisha ili na mwenzie azungumze, mwenzie akiongea kidogo kishamkatisha anaongea yeye tu, nilikasirika ile siku na TV nikaizima,
Nakubaliana na wewe kuhusu kukosa utulivu wa akili.