Yupo Wapi Barbara wa Clouds Fm

Yupo Wapi Barbara wa Clouds Fm

Ukiona mtangazaji anataka kuzungumza yeye zaidi jua anakuwa hana utulivu wa kiakili au pengine ana aina fulani ya trauma.
Kuna siku nilikua naangalia kipindi cha sport cha EATV, mtangazaji aliwaalika wachambuzi wawili aise jamaa mmoja alikua anataka kuongea peke yake na kuwatoa ufahamu wenzie kua hawajui kitu, ilikua kazi kwa mtangazaji kumkatisha ili na mwenzie azungumze, mwenzie akiongea kidogo kishamkatisha anaongea yeye tu, nilikasirika ile siku na TV nikaizima,

Nakubaliana na wewe kuhusu kukosa utulivu wa akili.
 
Eti wanauliza maswali wanajibu wenyewe [emoji1]

Ova
Ndio,
Kuna siku walimualika Bi Patricia Hillary nikafurahi kumuona, kwa ujuaji wao tukakosa kusikia mengi kutoka kwa mkongwe yule, wanauliza maswali kabla hajajibu wamejibu ikabidi Mama wa watu awe mpole tu, maana yeye anaongea taratibu wao wanaongea kama cherehani
 
Wana kelele wale wamama wawili Babra na Baby hadi kero, mgeni haojiwi vizuri wanakua wanamuuliza maswali na kujijibu wao,

Hata hivyo napenda utangazaji wa Babra kuliko Baby, Baby anatabia ya kumkatisha mtu akiwa anaongea na anataka aongee yeye mwanzo mwisho, hua sipendi kua kwenye mazungumzo na watu wa dizaini yake.

Bora umesema[emoji28]

Yaani wanapata wageni wakubwa lkn “poor interview”

Imagine anakuja mbunge,waziri au mkuu wa vyombo vya usalama badala wajenge maswali yenye hoja wanaishia kuropoka na kuuliza kwa makelele bila hoja yeyote

Huwezi kabs fananisha na watangazaji mahiri kama Gerald Hando,Masoud Kipanya,Millard Ayo,Hamis Tambwe na wengine ambao ukisikiza interview unaenjoy
 
Kuna yule dogo wa wasafi TV kipindi cha msumari wa moto asee anajua kufanya interviews balaa

Anatoa mpk reference,na nukuu mbalimbali ndio anauliza swali unaona kazi huyu ana taaluma
Nilikuw shabiki wa kile kipindi,ila sikuhizi sikion tna
 
Nje ya mada, yuko wapi Glory Robinson alikuwa RFA kipindi cha nyuma, alipotelea wapi huyu binti mwenye sauti tamu sana??
 
Ndio,
Kuna sikua walimualika Bi Particia Hillary nikafurahi kumuona, kwa ujuaji wao tukakosa kusikia mengi kutoka kwa mkongwe yule, wanauliza maswali kabla hajajibu wamejibu ikabidi Mama wa watu awe mpole tu, maana yeye anaongea taratibu wao wanaongea kama cherehani
Yaani vile vichwa vimekutana nakumbuka babie clouds360 muda mwingi alikiwa anaongea yeye tu

Halafu nilipenda Kuna siku walikuwa wanamuhoji zuhura yunusi,akasema sisi BBC hutakiwi kuchanganya lugha kama ni kiswahili basi nyooka nacho hicho usiingizie maneno ya kiingereza

Maana babie haipiti dk hajaingizia neno la kiingereza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana kelele wale wamama wawili Babra na Baby hadi kero, mgeni haojiwi vizuri wanakua wanamuuliza maswali na kujijibu wao,

Hata hivyo napenda utangazaji wa Babra kuliko Baby, Baby anatabia ya kumkatisha mtu akiwa anaongea na anataka aongee yeye mwanzo mwisho, hua sipendi kua kwenye mazungumzo na watu wa dizaini yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku nilimuona TCRA pale,..Live anaonekana angalau mzuri kuliko akiwa kwny tv,

Kwa Watangazaji wa kike wana0jua kufanyia watu mahojiano nadhani Salama Jabar is the best!

Tatizo Clouds utani mwingi na mazoea!
 
Yaani vile vichwa vimekutana nakumbuka babie clouds360 muda mwingi alikiwa anaongea yeye tu

Halafu nilipenda Kuna siku walikuwa wanamuhoji zuhura yunusi,akasema sisi BBC hutakiwi kuchanganya lugha kama ni kiswahili basi nyooka nacho hicho usiingizie maneno ya kiingereza

Maana babie haipiti dk hajaingizia neno la kiingereza

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni much know sana yule mama,
Nimependa Zuhura alivyowakosoa kiheshima,
Babie anajikuta Mmarekani na ongea yake haraka haraka yenye kelele,

Ila jamani sijawahi kuelewa dress codes za Babie, kuna siku alituvalia mblauzi mrefu, bwanga na raba nilicheka hadi machozi
 
Ni much know sana yule mama,
Nimependa Zuhura alivyowakosoa kiheshima,
Babie anajikuta Mmarekani na ongea yake haraka haraka yenye kelele,

Ila jamani sijawahi kuelewa dress codes za Babie, kuna siku alituvalia mblauzi mrefu, bwanga na raba nilicheka hadi machozi
Daktari umefika mbali .[emoji3]
Ila ukweli na mimi ananichekesha sana [emoji85]
Kwenye ile namba yao kila siku natuma meseji wanialike wananipa ahadi tu ila siku wakinialika nataka nikawaeleze kuwa wanazingua japo kipindi kingekuwa kizuri kama wangeacha utoto wao .
 
Back
Top Bottom