hyperbolic
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 459
- 525
Last Chance, naukumbuka sana huo wimbo, japo nilikuwa mdogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkimuona mwambieni namtafutaDuh, hili neno analipenda sana huyu jamaa maana hata kwenye wimbo wake alikuwa mahali anasema, ANGWISA!! bila shaka ni malafyale huyu.
mkuu kama tulikuwa wote huu wimbo ukianza na kale kabass kake dah!...nakuhitaji mpenzi wangu nakuhitajiiii.....!! Dah, enzi hizo kitambo sana nikiwa dogo.
Siyo kweli,huyu kajiandikia tu,kwa pesa ipi mpaka amiliki hizo lodge? Labda kama urithiDah kumbe ndio mwenye kile kighorofa Mombasa stand kwa nyuma makaburini. anazo kibao zingine zipo majohe. kweli jamaa alikuwa anajitambua.
Ni Malafyale kwa upande wa mamaDuh, hili neno analipenda sana huyu jamaa maana hata kwenye wimbo wake alikuwa mahali anasema, ANGWISA!! bila shaka ni malafyale huyu.
UmepoteaEnzi zake hakukua na wakali ndio maana hata nyimbo za kibwege bwege kama hizo zilikua zinapata airtime kubwa
vibe ya Leo, nkutaji ... enzi zileeee
We jamaa unadhan kila Msanii source of income take ni usaniii!!!Siyo kweli,huyu kajiandikia tu,kwa pesa ipi mpaka amiliki hizo lodge? Labda kama urithi
Sijasema hivyo,ila tuu kwa ninavyofahamu hizo lodge siyo za huyo jamaa.We jamaa unadhan kila Msanii source of income take ni usaniii!!!
Owner wa hizo lodges unamjua vizuri au unamjua kupitia vijiwe vya kahawa???Sijasema hivyo,ila tuu kwa ninavyofahamu hizo lodge siyo za huyo jamaa.
We we si unamjua? Weka ushahidi.Owner wa hizo lodges unamjua vizuri au unamjua kupitia vijiwe vya kahawa???
Kiongoz,mi nimekuuuliza,hayo nadhani sio majibu ya maswali yangu....We we si unamjua? Weka ushahidi.
Hizo lodge siyo za Caz T.Kiongoz,mi nimekuuuliza,hayo nadhani sio majibu ya maswali yangu....
Basis sawa...!!!Hizo lodge siyo za Caz T.
hahahahEnzi hizo wcb walikuwa bado wananyonya nyimbo za kiboya zinabamba disco Toto Kuku kapanda baskeli,dandu kurekod mamtoni anaonekana matawi,enzi zimebadilika siku mtoni ni km chooni tu kutwa Mara Tatu.
Aliimbaga huu wimbo na Sarah kipingu yule mtangazaji wa Capital radio kama unafahamiana naye anawezakusaidiaDah, jamaa kwenye huu wimbo ana mistari "MIKALI" sana.
Muulize Dokii anawezafahamu alipo coz ndio alikuwa mkeweMkimuona mwambieni namtafuta