Yupo wapi CAZ-T mwana wa Komba

Yupo wapi CAZ-T mwana wa Komba

Enzi hizo wcb walikuwa bado wananyonya nyimbo za kiboya zinabamba disco Toto Kuku kapanda baskeli,dandu kurekod mamtoni anaonekana matawi,enzi zimebadilika siku mtoni ni km chooni tu kutwa Mara Tatu.
hahahah
 
Na yule Jamaa aloimba "masawe alikuwepo, daud alikuwepo, na huyu mtoto wa hapa nyuma nani huyu,naye alikuwepo.
Yupo wapi?
 
Back
Top Bottom