Sasa mwanaume anaeshindana na wanawake nae anakupotezea muda!
Dharau Mbaya sana hii !!! yaani mwanamke siyo mutu? wakti amekuzaa?? amekupa akili!! kwa nini mnadharau Mama zetu hivi?? wametuleta Duniani, wana nguvu hatare!! niliwahi imba na Bob ''no woman no cry!'' wewe una mchango wa Cry sana tu!
nisinge kuwa na akili ya kuandika hapa leo!!! but
sababu ya Mama.
Nina, pesa, mali nyingi, shule kubwa, bila kusahau kitumbo Leo sababu ya Mama watoto wangu hapa!
yaani naweza sema meeengi sana mkaniona mnoko, but umuombe Mwanamke samahani kubwa sana, sipendi!!!, nasema sipendi!!, hivi hujui kuwa Mutu anae weza kumliza jemedari kama Sadam Hussein ni mwanamke tu baasi!!
unawaonaje kwanza wale watu wanatuliza bila kupigwa? mtu aliye tikisa, shetani na Mbingu!! mpaka Mungu akatamka wazi wazi kwa kauli yake ''tuishi nao kwa akili??? ulidhani anatania??
waombe samahani haraka sana kabla sijakasirika nikakupiga laana ya kiuno buree!! nimekasirika mnoo!! sinto kusahau wewe labda ujilete Mwenyewe!! nisikutafute!!!! heee!
tena bora ungekuwa ME'' sasa weye ni wale wale!! kina Mama mweee!! ndo utawafundisha watoto wako hayo hayo??? ma misimamo ya hovyo!!! ndiyo!! nasema ya hovyo kwa sababu umedhamiria hovyo tu!!?
Ndo Kuanzia leo ujue Mateso ya wanawake wenzenu Duniani humu! yanasababishwa na wanawake hao hao!! wanaume mnawaonea tu kudai haki zenu, lkn chanzo ni nyie wanawake, ndo wakuchapana makonde wenyewe kwa wenyewe akili ziwakae sawa,
mkimalizana ndo mje huku....wanaume Hoyeeee!! tuna Roho nzuri sana km ya Mungu! zenye mafuta meengi..., ukikomaza shingo ntakutumia km sample ujue! tena hii ngoja niikate kabisa niende nayo darasani !
Ebu fikiria mtu km weye umezaa mtoto wa kiume una mlea kila siku na kumfundisha skills za maisha mkiwa shambani, Dukani, sokoni lazima unamuhusia tu km hii atachukuliaje wanawake huko Duniani mwake?
Maviongozi yote katili Duniani km IDD Amin, Adolf Hitre, Obasanjo nk yalilelewa na wanawake pekee wenye misimamo km hii either baba zao walikufa kwa limbwata au walikimbia mateso ya wake zao!! chunguza!!