Yupo wapi Cyprian Musiba?

Yupo wapi Cyprian Musiba?

Kwa wale wanamkumbuka huyu jamaa iikuwa haipiti week anakuja na nondo hatari.

Je, yupo wapi siku hizi hata magazeti yake pia hayasikiki sana, yupo wapi?
Wahi hospitali inayotoa huduma ya afya ya akili, huenda unaumwa. Kama uliwahi kuona nondo kwenye ule uchafu wa Musiba, labda kuna mahali una shida.
 
Sasa mzee, tangu umetungwa tumboni kwa mama yako ulikuwa unalalamika, lawana ziko kwenye vina saba vyako #mgiriki Jr VI, hujawahi acha kulalamika hata kwenye threads zako, huna threads hata moja inayoleta suluhisho ni lawana tu na maswali labda na threads za kupastiwa, sasa endelea kumuunga mkono huyo mwana mama aliyejawa na nyongo, mzandiki na chuki binafsi ili na wewe tukusajili huko BAWACHA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] woe to you poor Greece, for u have fallen and u will never stand stay out my way dear buddy
Kuwa mpinzani sio dhambi mkuu...

Naona kwako adui namba moja ni chadema...
 
Kwa wale wanamkumbuka huyu jamaa iikuwa haipiti week anakuja na nondo hatari.

Je, yupo wapi siku hizi hata magazeti yake pia hayasikiki sana, yupo wapi?
Nasikia ni mpishi binafsi wa JIWE
 
Kama unamuona Musiba anatoa nondo basi wewe ni wa kuhurumiwa. Musiba alitembelewa na matatizo ya upumuaji wiki iliyopita lakini Mungu hakumpenda zaidi bado tunae.

Binafsi nimshitushwa na hilo “Nondo”..! Daah acha niishie hapo ila musiba hana nondo ni matusi tu amejaa kichwani kwake
 
Kamanda Musiba yupo sana tu. Baada ya uchaguzi alisema amemaliza kazi yake ya kuwasambaratisha wapingaji kwahiyo amepumzika.
Ongezea na baada ya ndoto zake za mchana eti awe mbunge kuchinjiwa baharini...
 
Musiba hafai kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi na hata waliokuwa wanamtuma wanafaham hilo tumshukuru Mungu kwa Hilo kabisa
Anaweza kuwa mjumbe Wana mtaa wote wakakimbia mtaa wenyewe
 
Evf2E_uXEA8RF4p.jpg
 
Sasa mwanaume anaeshindana na wanawake nae anakupotezea muda!
Dharau Mbaya sana hii !!! yaani mwanamke siyo mutu? wakti amekuzaa?? amekupa akili!! kwa nini mnadharau Mama zetu hivi?? wametuleta Duniani, wana nguvu hatare!! niliwahi imba na Bob ''no woman no cry!'' wewe una mchango wa Cry sana tu!

nisinge kuwa na akili ya kuandika hapa leo!!! but
sababu ya Mama.
Nina, pesa, mali nyingi, shule kubwa, bila kusahau kitumbo Leo sababu ya Mama watoto wangu hapa!

yaani naweza sema meeengi sana mkaniona mnoko, but umuombe Mwanamke samahani kubwa sana, sipendi!!!, nasema sipendi!!, hivi hujui kuwa Mutu anae weza kumliza jemedari kama Sadam Hussein ni mwanamke tu baasi!!

unawaonaje kwanza wale watu wanatuliza bila kupigwa? mtu aliye tikisa, shetani na Mbingu!! mpaka Mungu akatamka wazi wazi kwa kauli yake ''tuishi nao kwa akili??? ulidhani anatania??

waombe samahani haraka sana kabla sijakasirika nikakupiga laana ya kiuno buree!! nimekasirika mnoo!! sinto kusahau wewe labda ujilete Mwenyewe!! nisikutafute!!!! heee!

tena bora ungekuwa ME'' sasa weye ni wale wale!! kina Mama mweee!! ndo utawafundisha watoto wako hayo hayo??? ma misimamo ya hovyo!!! ndiyo!! nasema ya hovyo kwa sababu umedhamiria hovyo tu!!?

Ndo Kuanzia leo ujue Mateso ya wanawake wenzenu Duniani humu! yanasababishwa na wanawake hao hao!! wanaume mnawaonea tu kudai haki zenu, lkn chanzo ni nyie wanawake, ndo wakuchapana makonde wenyewe kwa wenyewe akili ziwakae sawa,

mkimalizana ndo mje huku....wanaume Hoyeeee!! tuna Roho nzuri sana km ya Mungu! zenye mafuta meengi..., ukikomaza shingo ntakutumia km sample ujue! tena hii ngoja niikate kabisa niende nayo darasani !

Ebu fikiria mtu km weye umezaa mtoto wa kiume una mlea kila siku na kumfundisha skills za maisha mkiwa shambani, Dukani, sokoni lazima unamuhusia tu km hii atachukuliaje wanawake huko Duniani mwake?

Maviongozi yote katili Duniani km IDD Amin, Adolf Hitre, Obasanjo nk yalilelewa na wanawake pekee wenye misimamo km hii either baba zao walikufa kwa limbwata au walikimbia mateso ya wake zao!! chunguza!!
 
Sasa mzee, tangu umetungwa tumboni kwa mama yako ulikuwa unalalamika, lawana ziko kwenye vina saba vyako #mgiriki Jr VI, hujawahi acha kulalamika hata kwenye threads zako, huna threads hata moja inayoleta suluhisho ni lawana tu na maswali labda na threads za kupastiwa, sasa endelea kumuunga mkono huyo mwana mama aliyejawa na nyongo, mzandiki na chuki binafsi ili na wewe tukusajili huko BAWACHA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] woe to you poor Greece, for u have fallen and u will never stand stay out my way dear buddy
yego mwamba musiba wakimbia go? uliko kipande gani na magajeti ga wewe?
 
Back
Top Bottom