Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka kujua muziki wake basi muulize da Mange, hana hamu naye kabisaKama unamuoba Musiba anatoa nondo basi wewe ni wa kuhurumiwa.
Sasa mwanaume anaeshindana na wanawake nae anakupotezea muda!Ukitaka kujua muziki wake basi muulize da Mange, hana hamu naye kabisa
Kama unamuoba Musiba anatoa nondo basi wewe ni wa kuhurumiwa. Musiba alitembelewa na matatizo ya upumuaji wiki iliyopita lakini Mungu hakumpenda zaidi bado tunae.
Sir God hapo ndo simuelewagi sometimes, afanye tu mambo bana, mbona anauweka hivyo.Kama unamuoba Musiba anatoa nondo basi wewe ni wa kuhurumiwa. Musiba alitembelewa na matatizo ya upumuaji wiki iliyopita lakini Mungu hakumpenda zaidi bado tunae.
Mipango ya Mungu ni mikubwa, si ajabu anataka tushuhudie mateso yake hapa duniani.Sir God hapo ndo simuelewagi sometimes, afanye tu mambo bana, mbona anauweka hivyo.
Mipango ya Mungu ni mikubwa, si ajabu anataka tushuhudie mateso yake hapa duniani.
Utamsikia tena wakati wa kubadilisha katiba na ‘mzee’ kuongezewa saba tena.Sio mateso tu labda Mungu amempatia nafasi ya kujitafakari na kutubu.
Lakini mbona bado yupo na harakati zake, juzi nimemsikia katika Youtube akihojiwa na mwandishi wake (Tanzanite journalist) kuhusu Corona iliyompata Maalim Seif, akisema kwamba Maalim hakuwa/hana Corona bali kajidai kuwa anayo Corona----, na akadai kuwa baadaye atatoa taarifa hiyo kwa kina.Utamsikia tena wakati wa kubadilisha katiba na ‘mzee’ kungezewa saba tena.
Nilimsikia na Pia anafahamu kuwa jina lake ni la pili katika wasafiri wa kwenda ICC.Lakini mbona bado yupo na harakati zake, juzi nimemsikia katika Youtube akihojiwa na mwandishi wake (Tanzanite journalist) kuhusu Corona iliyompata Maalim Seif, akisema kwamba Maalim hakuwa/hana Corona bali kajidai kuwa anayo Corona----, na akadai kuwa baadaye atatoa taarifa hiyo kwa kina.
Acha kupotosha.Amenyamaza baada ya kupigwa chini kugombea ubunge,na pia hajapata uteuzi. Watz si wajinga.Kamanda Musiba yupo sana tu. Baada ya uchaguzi alisema amemaliza kazi yake ya kuwasambaratisha wapingaji kwa hiyo amepumzika.
Kama unamuona Musiba anatoa nondo basi wewe ni wa kuhurumiwa. Musiba alitembelewa na matatizo ya upumuaji wiki iliyopita lakini Mungu hakumpenda zaidi bado tunae.
Acha chuki binafsi we mlevi, utakufa kabla ya wakt wako, mpe mmeo haki yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha kusengenyana na wanaume NYAMBAFU WEWEUtamsikia tena wakati wa kubadilisha katiba na ‘mzee’ kuongezewa saba tena.