Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Hakuna nchi iliyo anza ulimwengu wa kwanza moja kwa mojaHapo unalinganisha nchi za ulimwengu wa kwanza dhidi ya nchi moja masikini iliyosubiri COVID 19 itokee ikapeleka data ipewe hela za kujenga vyoo.
Unaanzaje kuliganisha nchi isiyo hata na uwezo wa kujitosheleza kuhifadhi kiyesi chake bali mpaka ugonjwa uibuke duniani na wazungu watoe hela za pole dhidi ya nchi kama Marekani
Unatumbua macho umebanwa ?Ukichanganyikiwa wewe ndio tuchanganyikiwe sote?!!! [emoji15][emoji15]
Wewe ni mke mwenza ?Unachojibu hakiendani na remarks ya dada Maria....[emoji1787][emoji1787]
Historia ya serikali ya nchi hii ina Mengi na Mengi hayo hatuyajui.
Kina Hanspope, Maganga, Tamimu na wengine wengi walipanga kumuua na kuipundua serikali ya Mwl Nyerere.
Inadaiwa dereva teksi aliyekuwa akiwasafarisha wapanga mapinduzi kuhudhuria vikao vyao vya Siri alibaini mpango wao na kuripoti kwa vyombo vya usalama.
Muda umeenda Sasa, huyu dereva teksi ni nani? Yupo wapi Sasa? Alilipwa nini na serikali Kama shukurani ya kuinusuru nchi?
Wacha uongo. Tanzania haijawahi kuwa nchi ya Kikomunisti. UsichanganyeEnzi zile Bongo ilikuwa ni kitovu cha Ujamaa. Same as China, Cuba, Noth Korea na Russia.
Yes sureUkikua utaelewa once a pot always a pot
Baada ya tukio hilo, alibadili kazi na kuanzisha biashara yake mwenyewe. Alikufa mwaka 2009 akiwa na umri wa miaka 61.
Mwongo huyo alikua hata hajazaliwa au yuko Lindi huko na kaputula imetoboka.Kumbe wewe ni mjomba wetu kabisa....duuuh hiyo si ilikuwa 1982?!!
Mama zetu walikuwa vigoli...binafsi nimeyasoma katika magazeti haswa la RAI.,.
Ubarikiwe.Ilikuwaje kuwaje?
Mahari ya kukuoa tuipeleke kwa baba yako mdogo mzee Francis?!!!Wewe ni mke mwenza ?
Kwanini unasema ni mwongo?!!![emoji15][emoji15]Mwongo huyo alikua hata hajazaliwa au yuko Lindi huko na kaputula imetoboka.
Hio ipo kwenye vitabu mission yote mpk ilipobumburuka.
Hakuwepo dar wala hapajui,kasema alikua katumba bar wakati hao jamaa wanafanya yao.
Katumba bar haikuwepo maana nilikuwepo siku inazinduliwa rasmi.
Dunia ililaumu sana kumpoteza huyu..hasa Cuba na Israel...huwezi ua jembe ..........Nilishuhudia Ule Mtanange wa Tamimu pale Kinondoni Mkwajuni!
Dunia yote ililaani hiki kitendo....kimsingi hawauliwi na wanyumbani ni mwiko.Field Marsha komandoo Tamimu akapigwa na Komandoo Mabere Marando mlenga shabaha long live Mabere Marando
Kwasababu kataja katumba bar,haikuwepo.Kwanini unasema ni mwongo?!!![emoji15][emoji15]
Kama utakuwa na hicho kitabu naomba link nikisome ama kama utakuwa unajua library yenye hicho kitabu naomba nielekeze.
Shukrani
Haya 😂😂🔥🐼Hakukua na katumba bar miaka hiyo acha uongo wewe
Eh! Hii mpya hii.
Ukisubiri mahali maalum kupata elimu utachukua miaka mingi sana. Elimu nzuri lazima uitafute nje ya vyanzo rasmiNina umri mkubwa tu, bahati mbaya hakuna mahala maalumu linapotajwa hili. Vile vile inawezekana kuna mtoto wa primary wa leo analijua hili, hivyo umri mkubwa haumaanishi kujua kila kitu