Yupo wapi dereva teksi alyefichua njama za kumpindua Nyerere mwaka 1982? Je, alilipwa chochote kama ‘asante’?

Yupo wapi dereva teksi alyefichua njama za kumpindua Nyerere mwaka 1982? Je, alilipwa chochote kama ‘asante’?

Hapo unalinganisha nchi za ulimwengu wa kwanza dhidi ya nchi moja masikini iliyosubiri COVID 19 itokee ikapeleka data ipewe hela za kujenga vyoo.
Unaanzaje kuliganisha nchi isiyo hata na uwezo wa kujitosheleza kuhifadhi kiyesi chake bali mpaka ugonjwa uibuke duniani na wazungu watoe hela za pole dhidi ya nchi kama Marekani
Hakuna nchi iliyo anza ulimwengu wa kwanza moja kwa moja
 
Historia ya serikali ya nchi hii ina Mengi na Mengi hayo hatuyajui.

Kina Hanspope, Maganga, Tamimu na wengine wengi walipanga kumuua na kuipundua serikali ya Mwl Nyerere.

Inadaiwa dereva teksi aliyekuwa akiwasafarisha wapanga mapinduzi kuhudhuria vikao vyao vya Siri alibaini mpango wao na kuripoti kwa vyombo vya usalama.

Muda umeenda Sasa, huyu dereva teksi ni nani? Yupo wapi Sasa? Alilipwa nini na serikali Kama shukurani ya kuinusuru nchi?

Fake news! Aliyekuhadithia alikuoiga kamba, hapo halikuwa suala la taxi driver!
 
Vijana mnalumbana humu, mnaleta vihistoria na njama nyingi sanaa na bado mnashindwa kufanya utafiti na kujibu swali la msingi la mada hii

Yupo wapi dereva teksi alyefichua njama za kumpindua Nyerere mwaka 1982? Je, alilipwa chochote kama ‘asante’?​


So far mpaka nilipofikia kusoma jibu limetolewa na mwanahudhur mmoja
Baada ya tukio hilo, alibadili kazi na kuanzisha biashara yake mwenyewe. Alikufa mwaka 2009 akiwa na umri wa miaka 61.

Mjaribu kuwa wadadisi na wadadvuaji wazuri wa Historia ya Nchi yenu badala ya kuja na vijimaneno kwa kikasuku kasuku.
 
Kumbe wewe ni mjomba wetu kabisa....duuuh hiyo si ilikuwa 1982?!!
Mama zetu walikuwa vigoli...binafsi nimeyasoma katika magazeti haswa la RAI.,.
Mwongo huyo alikua hata hajazaliwa au yuko Lindi huko na kaputula imetoboka.
Hio ipo kwenye vitabu mission yote mpk ilipobumburuka.
Hakuwepo dar wala hapajui,kasema alikua katumba bar wakati hao jamaa wanafanya yao.
Katumba bar haikuwepo maana nilikuwepo siku inazinduliwa rasmi.
 
Mwongo huyo alikua hata hajazaliwa au yuko Lindi huko na kaputula imetoboka.
Hio ipo kwenye vitabu mission yote mpk ilipobumburuka.
Hakuwepo dar wala hapajui,kasema alikua katumba bar wakati hao jamaa wanafanya yao.
Katumba bar haikuwepo maana nilikuwepo siku inazinduliwa rasmi.
Kwanini unasema ni mwongo?!!![emoji15][emoji15]
 
Field Marsha komandoo Tamimu akapigwa na Komandoo Mabere Marando mlenga shabaha long live Mabere Marando
Dunia yote ililaani hiki kitendo....kimsingi hawauliwi na wanyumbani ni mwiko.
N.B.
NI GHARAMA SANA KUPATA MTU WA AINA HIYO.
 
Sisi wa zamani Dar, tunamkumbuka jamaa mmoja mrefu hivi alikuwa anatembeza magazeti
Jamaa alikuwa ni yuko rough kuanzia nguo zake na kofia lake, lakini alikuwa anauza mpaka magazeti ya Kenya Daily Nation na Taifa Leo, la siku hiyo hiyo.
Tulikuwa tukisikia wazee wa vijiweni wakisema yule ni wa mfumo.....
 
Eh! Hii mpya hii.
1695530836120.png
 
Back
Top Bottom