nduza
JF-Expert Member
- Feb 7, 2019
- 1,595
- 2,503
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38] aliposhiriki wizi wa kura 2020 aliamini atakuwa Waziri wa FedhaHuyu mheshimiwa alikuwa anatajwa kama mtaalamu sana aliyeifanikisha benki ya crdb.
Hawezi kuwa suluhisho la nyakati hizi za mfumuko wa bei?
Hawezi kuwa na shida yoyote.naskia pia aliomba Hai ama vunjo wilaya iwe nji.Nilikuwa nae mitaa flani hvi....
Yupo safi hana shida yoyote...
Ujinga @Dot•comBaniani Mbaya Kiatu Chake dawa...huyu unaemsema mbovu ndio alikua analipa mishahara ya wafanyakazi wa serikali enzi za Msoga...huyu mzee angekaza mishahara watu wangepata tarehe 52 badala ya 35 waliokua wanapata...give some respect to an oldman
JimboniKwamba hata maoni yake hatoi?
Huko ccm hata akija Biden kugombea kwenye hicho chama atakuwa mpumbavu tuHuyu mheshimiwa alikuwa anatajwa kama mtaalamu sana aliyeifanikisha benki ya CRDB.
Hawezi kuwa suluhisho la nyakati hizi za mfumuko wa bei?
Kimei na Mramba ni ndugu?He miscalculated akidhani angepata kuwa waziri wa fedha na akasahau kuwa wananchi bado wanakumbuka ufisadi aliofanya ndugu yake Mramba mpaka akafungwa!!
Wachaga!!!Kimei na Mramba ni ndugu?