King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
- Thread starter
-
- #41
Hahaha hatari sana mkuu....Mponjoli rafiki yake Mr II.Huyu nlipiga naye sangu sec sema alinizidi vidato...wakat naingia sangu sec hao ndy walikuwa wababe wa shule mgeni
Ukifika lazima ureport kwao
Ila mziki wangu waliona...wenyew walikubali
Ova
Sugu alikuwa sangu nayeHahaha hatari sana mkuu....Mponjoli rafiki yake Mr II.
Sugu alikuwa sangu naye
Sugu tukaja kumpokea hapo Indiana polisi block 41 akiwa na washkj zake cebby na Jerry
Miaka fulani Sugu nlipiga naye kazi BP boss wetu alikuwa mzee mtenga,hyo part time nkaondoka nkamuacha
All in all mpaka leo tunawasiliana
Ndy hivyo
Ova
Sugu alisoma mbeya secondary sema walikuwa washkaji kitown Town pale greencitySugu alikuwa sangu naye
Sugu tukaja kumpokea hapo Indiana polisi block 41 akiwa na washkj zake cebby na Jerry
Miaka fulani Sugu nlipiga naye kazi BP boss wetu alikuwa mzee mtenga,hyo part time nkaondoka nkamuacha
All in all mpaka leo tunawasiliana
Ndy hivyo
Ova