Yupo wapi Mponjoli Malakasuka?

Yupo wapi Mponjoli Malakasuka?

Hahaha hatari sana mkuu....Mponjoli rafiki yake Mr II.
Sugu alikuwa sangu naye
Sugu tukaja kumpokea hapo Indiana polisi block 41 akiwa na washkj zake cebby na Jerry
Miaka fulani Sugu nlipiga naye kazi BP boss wetu alikuwa mzee mtenga,hyo part time nkaondoka nkamuacha
All in all mpaka leo tunawasiliana
Ndy hivyo

Ova
 
Sugu alikuwa sangu naye
Sugu tukaja kumpokea hapo Indiana polisi block 41 akiwa na washkj zake cebby na Jerry
Miaka fulani Sugu nlipiga naye kazi BP boss wetu alikuwa mzee mtenga,hyo part time nkaondoka nkamuacha
All in all mpaka leo tunawasiliana
Ndy hivyo

Ova

Safi sana Don mrangi ,kitambo sana.
 
Mtoto wa mbeya city huyo yupo hukohuko mtoni bado
 
S
Sugu alikuwa sangu naye
Sugu tukaja kumpokea hapo Indiana polisi block 41 akiwa na washkj zake cebby na Jerry
Miaka fulani Sugu nlipiga naye kazi BP boss wetu alikuwa mzee mtenga,hyo part time nkaondoka nkamuacha
All in all mpaka leo tunawasiliana
Ndy hivyo

Ova
Sugu alisoma mbeya secondary sema walikuwa washkaji kitown Town pale greencity
 
Back
Top Bottom