Sio kawaida kukaa kimya bila kutokea hadharani au kuzungumza Jambo kwetu sisi wananchi wake wapendwa.
Huwa anaibuka na Jambo lolote mara moja walau ndani ya siku mbili tunamwona Runingani, mitandani au kumsikia redioni.
Mama nimekumiss xaaannahh Mama.
HahahahaWaziri wetu Majaliwa usijibu hili swali ni mteeegoooo
Naomba nisiwaze zaidiKaonekana leo Ikulu ila anachechemea mguu wa kushoto.
Karudi leo toka Dubai baada ya kupelekwa na 5H-ONE tarehe 11 usiku afu ndege ikarudi tupu
Akijibu kua "yupo ana chapa kazi" itakua nafuu kwa Taifa.Waziri wetu Majaliwa usijibu hili swali ni mteeegoooo
Mguu wa kushoto utakuwa na shida na kajionesha makusudi maana kelele zilishakiwa nyingi maana amekaa Dsm toka kwenye kusomwa ripoti ya CAG hajarudi Dodoma,zaidi kaenda DubaiHilo suala nimeliona nikawa nabishana na jamaa angu mmoja hivi,ila dezaini flani kama mama kachoka sana.
Yupo frsh mama yetu mpendwa.Ooohooooo!! Yalianzaga hivi hivi!
Hata Mzee naye walimuanzia hivo hivo akaondoka kisaniiNaomba nisiwaze zaidi
Kasimu atakuwa ameelewaWaziri wetu Majaliwa usijibu hili swali ni mteeegoooo
Asee nimecheka sana, upewe nafas ya mshauri wa waziri mkuu Tz.Waziri wetu Majaliwa usijibu hili swali ni mteeegoooo
Picha ilioneshwa, yupo Ikulu akichapa kaziHata Jiwe walianza kumzushia kama utani, mara wakamtumia moshi kule Kusini kwa shangazi zake Majaliwa, mara kakimbizwa Nairobi, mara Mzena.
Si alisema askari wasifunge njia masaa manne kisubiri mtoto wa maskini apite tuuVipi agizo la Makamu wa Rais Jana, ulilielewa.
Sio kawaida kukaa kimya bila kutokea hadharani au kuzungumza Jambo kwetu sisi wananchi wake wapendwa.
Huwa anaibuka na Jambo lolote mara moja walau ndani ya siku mbili tunamwona Runingani, mitandani au kumsikia redioni.
Mama nimekumiss xaaannahh Mama.
Nimesoma hii thread , nikamkumbuka Mke wa Marehemu Samora aliyekuwa Rais wa Msumbiji.Sio kawaida kukaa kimya bila kutokea hadharani au kuzungumza Jambo kwetu sisi wananchi wake wapendwa.
Huwa anaibuka na Jambo lolote mara moja walau ndani ya siku mbili tunamwona Runingani, mitandani au kumsikia redioni.
Mama nimekumiss xaaannahh Mama.
Anaongea akiwa mkoa gani hapa Tz?Rais wetu ni mzima kabisa na anachapa kazi... Kaniambia niwasalimie