Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinaitwa uhondo yuko na Dina marios na yule bibi mmbea mmbea sijui anaitwa na naniEnika kwenye msiba wa Mengi alionekana akiimba pia kuna kundi la comedy linaongozwa na somebody Bukuku huwa anakua huko ....
Swebe ni mtangazaji pale Efm kipindi chao kinaanza saa sita mpaka saa tisa mchana
wanadai alimshikaga kalio joyce mhavile huko ofisini wakamsimamisha kaziSaigon mzee wa oi..oi..oi
huyu mama kule nyuma mashalaaaMama Terry hivi alienda wapi vile! Yule wa Ushauri nasaha Tulimkoma kipindi kile...
😀😀 ndio mkuuKinaitwa uhondo yuko na Dina marios na yule bibi mmbea mmbea sijui anaitwa na nani
Mama Terry yupo TBC1 ijumaa saa Tatu usiku kipindi chake nimekisahau ni bibi flani hiviHabari wakuu.
Nimeona kuna haja ya kuanzisha uzi maalumu wa kufahamu walipo baadhi ya watu wetu waliowahi kujulikana sana enzi hizo.
Leo naanza kwa kutaka kujua wapo wapi watu hawa?
1) Flora Nducha wa Radio One
2) Enika wa baridi kama hii
3) Peter Manyika- Kipa wa Yanga
4) Snare wa East Coast Team
5) KR jibaba wa Wanaume TMK
6)Sinta wa Juma Nature
7) Suma Lee na CPWAA
8) Angel Damas aliwahi kua Miss Tanzania
9) K.sal Mwana Mkiwa
10) Edger Maokola Majongo
11) Masood Sura Mbaya
12) Yule mtunzi wa Jumba la Dhahabu
13) Kibakuli na Swebe wa Kaole
14) Tina na Mjuba wa Mambo hayo
List imeongezeka
Wapo wapi hawa?
1) Sekion David
2)Nyamayao
3)Bab lee wa Kizizi
4)Jimmy Plus wa Misukosuko
5)Tabia wa Kidedea
6) Paulin Zongo
7) Mama Terry wa Ushauri Nasaha
8) MB Dogg na Marlaw
9) Sajna na CSir Madini wa Tetemesha
10) Bery Black na Bery White wa Znz
Tujuzane tu
Na kama kuna mtu aliwahi kukufurahisha enzi hizo mtaje hapa jungu kuu halikosi ukoko tujue wapo wapi na wanafanya nini.
Ahsanten.
lini kafariki?,nakumbuka alikuwa anatangaza Uhuru FM pale ccm lumumbaMama Abdul Kashafariki
Hahaha Bab leee
Ijumaa saa Tatu usiku TBC oneJina Nimekisahau Ila ni Jmos Saa3 Ivii Umri umeenda mama ushaur
YapKuhusu masuala ya Mtandao iko powerd by TCRA
Saigon aliendaga uk inasemekana alipigwa bombaNasikia Saigon naye alidata kutokana na matatizo ya kimaisha
dah!kweli noma!katika wana waliokuwa wanafanya real hip hop uyu ni m1 wapo....the best emcee dah!Saigon aliendaga uk inasemekana alipigwa bomba
Nakumbka alikuwa shabiki mkubwa wa team ya abajalo ........kwenye mechi alikuwa hakosi
Ova
majitu mwitu msitu...au?LWP wako wpi Dah
Wazee wa jitu jitu kali.....
Ova
Mzee wa diplomatz enzi hzo tukienda don Bosco upanga watu hko wanasababishadah!kweli noma!katika wana waliokuwa wanafanya real hip hop uyu ni m1 wapo....the best emcee dah!
Hao hao Dahmajitu mwitu msitu...au?
mtulize kabla hajakutuliza kudadeki tuna hasira kama tumekunywa maji ya betri....mmoja wao namuonaga mitaa ya tandika nahisi anaishi buza!Hao hao Dah
Na wanangu mabaga fresh
Wanagoma lao ambalo mpk leo naikubali linaitwa mtulizeeee walim ft nature
Ova
mkuu we wa kitambo sana...old school flani ivi au VP?Mzee wa diplomatz enzi hzo tukienda don Bosco upanga watu hko wanasababisha
Manager wao alikuwa taji liundi
Sjui naye yuko wapi
Ova