Yupo wapi siku hizi?

Yupo wapi siku hizi?

Yuko wapi Denso yule wa gorilla killer alikua na mwenzake anaitwa Pingu amekufa waliimba nyimbo ya joanita wamemshirikisha mr blue.
 
Yuko wapi Denso yule wa gorilla killer alikua na mwenzake anaitwa Pingu amekufa waliimba nyimbo ya joanita wamemshirikisha mr blue.
Daaah Pingu na Deso kumbe Jamaa Pingu alishafariki? MR blue alikua anapiga joni joni joni jonita naumia moyoni joanita
 
Swebe ni mtangazaji wa EFM hapa dar na Kibakuli ni marehemu.Kwani Nina wa mambo hayo nae yuko wapi
Kibakuli mzima hajafa,walimzushia baada ya kuumwa akawa analia Mungu asimchukue maana mama ake anamtegemea[emoji1] Nina aliolewa na jamaa mmoja ambaye ni mdau wa taarabu,akamslimisha na wana watoto 3 pacha
Mambo yake safi mnooo,hana shobo na uigizaji na huwa anakataa mahojiano na waandishi
 
Kibakuli mzima hajafa,walimzushia baada ya kuumwa akawa analia Mungu asimchukue maana mama ake anamtegemea[emoji1] Nina aliolewa na jamaa mmoja ambaye ni mdau wa taarabu,akamslimisha na wana watoto 3 pacha
Mambo yake safi mnooo,hana shobo na uigizaji na huwa anakataa mahojiano na waandishi
ahaa safi.Na yule sinta aliyepigwa denda mpaka gari ikashindwa kwenda yu wapi? je na yule nora nae yu wapi?
 
~Caz T- wa Nakuhitaji
~yule mtunzi wa taarabu ya Natanga na njia
~Salehe Jabiri~ wa ruka kama Ndege
~Mike T~ wa Nakupenda
~Muumini Mwinjuma ~ wa jamani Tunda
~
~
 
Hafsa wa

"Eti napigwa ninawachulia ..

Mpenzi wangu mimi kweli nakupenda..wajua ndo mana watesa

Labda ni dada zangu eeee....Mbona mabusu tele..mambo ya kizungu
Hafsa kazinja kaoko, na hiyo nyimbo ya pressure presure ameigeuza kuwa gospel song
 
Back
Top Bottom