mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Yeah Yeahmkuu we wa kitambo sana...old school flani ivi au VP?
Kuna mwanangu mmja toka xplastaz Dah ila RIP
Xpstaz nao Walikuwa hatari
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah Yeahmkuu we wa kitambo sana...old school flani ivi au VP?
father Nelly au....kuna ngoma yao flan ao X-Plastaz waliitoaga miaka 2009 ivi walimshirikisha Fid Q ile ngoma naitafuta ila chenga tu!unaweza ukawa unaifahamu?Yeah Yeah
Kuna mwanangu mmja toka xplastaz Dah ila RIP
Xpstaz nao Walikuwa hatari
Ova
Inaitwa Farahafather Nelly au....kuna ngoma yao flan ao X-Plastaz waliitoaga miaka 2009 ivi walimshirikisha Fid Q ile ngoma naitafuta ila chenga tu!unaweza ukawa unaifahamu?
Kibakuli hajafariki yupo anapumuaSwebe ni mtangazaji wa EFM hapa dar na Kibakuli ni marehemu.Kwani Nina wa mambo hayo nae yuko wapi
Daaah Pingu na Deso kumbe Jamaa Pingu alishafariki? MR blue alikua anapiga joni joni joni jonita naumia moyoni joanitaYuko wapi Denso yule wa gorilla killer alikua na mwenzake anaitwa Pingu amekufa waliimba nyimbo ya joanita wamemshirikisha mr blue.
[emoji1] [emoji1] hamna bwanaTabia wa kidedea nilisikia alifariki kwenye mabomu ya Gongo la mboto
Kibakuli mzima hajafa,walimzushia baada ya kuumwa akawa analia Mungu asimchukue maana mama ake anamtegemea[emoji1] Nina aliolewa na jamaa mmoja ambaye ni mdau wa taarabu,akamslimisha na wana watoto 3 pachaSwebe ni mtangazaji wa EFM hapa dar na Kibakuli ni marehemu.Kwani Nina wa mambo hayo nae yuko wapi
Taji yupo tena ni mc na pia kuna radio yupoMzee wa diplomatz enzi hzo tukienda don Bosco upanga watu hko wanasababisha
Manager wao alikuwa taji liundi
Sjui naye yuko wapi
Ova
Alidata baada ya mama ake mkewe kufatana kufaNasikia Saigon naye alidata kutokana na matatizo ya kimaisha
DuhAlidata baada ya mama ake mkewe kufatana kufa
Tena hasa mama ake alipofariki
ahaa safi.Na yule sinta aliyepigwa denda mpaka gari ikashindwa kwenda yu wapi? je na yule nora nae yu wapi?Kibakuli mzima hajafa,walimzushia baada ya kuumwa akawa analia Mungu asimchukue maana mama ake anamtegemea[emoji1] Nina aliolewa na jamaa mmoja ambaye ni mdau wa taarabu,akamslimisha na wana watoto 3 pacha
Mambo yake safi mnooo,hana shobo na uigizaji na huwa anakataa mahojiano na waandishi
Sinta yupo namuona sana instagram,ni diplomaticahaa safi.Na yule sinta aliyepigwa denda mpaka gari ikashindwa kwenda yu wapi? je na yule nora nae yu wapi?
Hahaah!! Nooma SaanaHahah! Hawezi kuacha mzee ndio pigo zake na mademu kwa sana
yeahh Thanks MkuuIjumaa saa Tatu usiku TBC one
Mwaka Huu ndo Niliona Mkuulini kafariki?,nakumbuka alikuwa anatangaza Uhuru FM pale ccm lumumba
Ni dini gani hii mkuu,inapatikana wapiAmegeuka mwanasiasa, amejiunga kwenye kundi la kusifu na kuabudu jiwe.
Hafsa kazinja kaoko, na hiyo nyimbo ya pressure presure ameigeuza kuwa gospel songHafsa wa
"Eti napigwa ninawachulia ..
Mpenzi wangu mimi kweli nakupenda..wajua ndo mana watesa
Labda ni dada zangu eeee....Mbona mabusu tele..mambo ya kizungu