Yupo wapi siku hizi?

Tabia wa kidedea nilisikia alifariki kwenye mabomu ya Gongo la mboto
 
Swebe ni mtangazaji wa EFM hapa dar na Kibakuli ni marehemu.Kwani Nina wa mambo hayo nae yuko wapi
 
Enika kwenye msiba wa Mengi alionekana akiimba pia kuna kundi la comedy linaongozwa na somebody Bukuku huwa anakua huko ....

Swebe ni mtangazaji pale Efm kipindi chao kinaanza saa sita mpaka saa tisa mchana
Kinaitwa uhondo yuko na Dina marios na yule bibi mmbea mmbea sijui anaitwa na nani
 
Mama Terry yupo TBC1 ijumaa saa Tatu usiku kipindi chake nimekisahau ni bibi flani hivi
 
LWP wako wpi Dah
Wazee wa jitu jitu kali.....

Ova
 
Saigon aliendaga uk inasemekana alipigwa bomba
Nakumbka alikuwa shabiki mkubwa wa team ya abajalo ........kwenye mechi alikuwa hakosi
Ova
dah!kweli noma!katika wana waliokuwa wanafanya real hip hop uyu ni m1 wapo....the best emcee dah!
 
Hao hao Dah
Na wanangu mabaga fresh
Wanagoma lao ambalo mpk leo naikubali linaitwa mtulizeeee walim ft nature
Ova
mtulize kabla hajakutuliza kudadeki tuna hasira kama tumekunywa maji ya betri....mmoja wao namuonaga mitaa ya tandika nahisi anaishi buza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…