Safi sana aisee vip kuhusu saigon yule alikuwa eatv nasikia nae yupo morogoro hapo anatangaza redio ya kiislam ila sina uhakika mwenye kujua atujuzeNdiyo Tena alikataa Katu Nyimbo Zake Zisije Zikapigwa Redion Hataki Kabisa
Amemrudia mungu nilisikia ila sina uhakika niliwah sikia yupo moro anatangaza redio ya dinSaigon mzee wa oi..oi..oi
Huyo saigon anatumia salehsaigonSaigon mzee wa oi..oi..oi
"Shoga"Alitamba sana kipindi flani na ile copy ya nyimbo ya zamani
Saigon sina Hakika Saana MkuuSafi sana aisee vip kuhusu saigon yule alikuwa eatv nasikia nae yupo morogoro hapo anatangaza redio ya kiislam ila sina uhakika mwenye kujua atujuze
Noooma Saaana MkuuKR mula kajificha huko temeke kwa azizi(mwembe kiuno)choka mbaya zimebaki nywele tu
Marlaw anafaid msambwanda wa besta ukoWa muhimu kabisa na ambao ungeanza nao kuwataja ni:- MARLOW wa Lita na MB-DOG wa ratifah
Sekion David Daaah huyu jamaa atafutwe kweli1.Bishanga,Waridi na Aisha wa mambo hayo
2.Sekioni David
3.Nyamayao na kibakuli
4.Jimmy plus wa misukosuko
5.Idd ligongo
6.Arnod Kayanda
7.Sauda Simba Kilumanga
Uyo Jimmy C Yupo Bongo NyosoSekion David Daaah huyu jamaa atafutwe kweli
Jimmy plus mpaka nilishamsahau
Iddy Ligongo nadhan yupo mashirika ya utangazaji ughaibuni
Kweli mkuu namuonaga uwanja wa sifaNoooma Saaana Mkuu
Noma SanaKweli mkuu namuonaga uwanja wa sifa
Bila kusahau paulina zongoHabari wakuu.
Nimeona kuna haja ya kuanzisha uzi maalumu wa kufahamu walipo baadhi ya watu wetu waliowahi kujulikana sana enzi hizo.
Leo naanza kwa kutaka kujua wapo wapi watu hawa?
1) Flora Nducha wa Radio One
2) Enika wa baridi kama hii
3) Peter Manyika- mlinzi wa Yanga
4) Snare wa East Coast Team
5) KR jibaba wa Wanaume TMK
6)Sinta wa Juma Nature
7) Suma Lee na CPWAA
8) Angel Damas aliwahi kua Miss Tanzania
9) K.sal Mwana Mkiwa
10) Edger Maokola Majongo
11) Masood Sura Mbaya
12) Yule mtunzi wa Jumba la Dhahabu
13) Kibakuli na Swebe wa Kaole
14) Tina na Mjuba wa Mambo hayo
Tujuzane tu
Na kama kuna mtu aliwahi kukufurahisha enzi hizo mtaje hapa jungu kuu halikosi ukoko tujue wapo wapi na wanafanya nini.
Ahsanten.
hahahahha !!Yupo TBC sasa IviiMama Terry hivi alienda wapi vile! Yule wa Ushauri nasaha Tulimkoma kipindi kile...
Pauline Zongo Yupo Anaenderea na Life Lake Umri umeenda Now ....sema Saut ake bado kali vile vileBila kusahau paulina zongo
Dullayo nahisi amekata ringi mwaka janaMarlaw anafaid msambwanda wa besta uko
Mb dog yupoo na mara ya mwisho alikua kwa meneja QS Mhonda..
Mbona Hamuuliz Sajna Wa Ivetha
Kina C.sir Madini
Ibra De Hustler
Kali P
Solid Ground Family
Dullayo
Top C
Kipindi gani na saa Ngapi? Alisababisha nibaki Bikra mpaka namaliza Shule...hahahahha !!Yupo TBC sasa Ivii
Mama Abdul KashafarikiHahaha huyu Bab Lee kitambo kweli boss