Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
hasa nyimbo yake ya shogaFina Mango....i like this lady very much sauti yake tamu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hasa nyimbo yake ya shogaFina Mango....i like this lady very much sauti yake tamu sana
Amegeuka mwanasiasa, amejiunga kwenye kundi la kusifu na kuabudu jiwe.Mama Terry hivi alienda wapi vile! Yule wa Ushauri nasaha Tulimkoma kipindi kile...
Jina Nimekisahau Ila ni Jmos Saa3 Ivii Umri umeenda mama ushaurKipindi gani na saa Ngapi? Alisababisha nibaki Bikra mpaka namaliza Shule...
GK Yupp saivi AnaimbaaWapi Mrema wa TLP na King Crazy GK?
Duuuh Ngoja NifatilieeDullayo nahisi amekata ringi mwaka jana
Kuhusu masuala ya Mtandao iko powerd by TCRAJina Nimekisahau Ila ni Jmos Saa3 Ivii Umri umeenda mama ushaur
Shukran MkuuKuhusu masuala ya Mtandao iko powerd by TCRA
We!!!tabia alifariki lini? Masikinit
Tabia alishafariki
Nlimuona insta hivi karibuni anadai katelekezwa na mtoto aliezaa na mtunis wa bongo movie, amekua na muonekano mbaya Pauline sijui ndio maishaPauline Zongo Yupo Anaenderea na Life Lake Umri umeenda Now ....sema Saut ake bado kali vile vile
Imepita Miaka tu, acha tuWe!!!tabia alifariki lini? Masikini
[emoji23][emoji23]KR mula kajificha huko temeke kwa azizi(mwembe kiuno)choka mbaya zimebaki nywele tu
Maskini ndio nasikia leoImepita Miaka tu, acha tu
http://www.ishikistaa.com/tanzia-muigizaji-wa-bongo-movie-zamzam-afariki-dunia/We!!!tabia alifariki lini? Masikini
Yule dada aliyeimba wimbo wa SUGUA GAGA, Jina limenitoka. Yu wapi sijui?
Maskini ndio nasikia leo
www.ishikistaa.com
Shaa Mbona yupo hapa bongo Ana mchumba wake máster J