clonazepam
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 247
- 281
Kuna YOTE KHERI na nyinginezonyimbo za Salu T mpya ni zipi?
dah maskini yake Dk Leader...au kifo cha Mr Ebbo ndo kilimpotezea dira?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna YOTE KHERI na nyinginezonyimbo za Salu T mpya ni zipi?
dah maskini yake Dk Leader...au kifo cha Mr Ebbo ndo kilimpotezea dira?
Yupppo tuuhoh okay
kitambo sana sijasikia habari zake
yule nae hajielewi.GK mwenyew saiv anaimba Sijui Nilisikia Yupp Nairobeee
ngoja nizisake...namkubali jamaaKuna YOTE KHERI na nyinginezo
Acha tu mkuu, life's change.Duh.fame yote ile aishi lukozi.kweli mambo yanabadilika asee
Lukozi kuna nini kwani?Duh.fame yote ile aishi lukozi.kweli mambo yanabadilika asee
Daaaah Hataryule nae hajielewi.
kuna kipindi niliskia alisema kuwa bila 40mil hapandi stejini..na hapo ni kwa Tz 🤣 🤣 🤣
Zitafute zipo mtandaoni.hadi yeye pia yupo mitandaoni anapostngoja nizisake...namkubali jamaa
Walihojiwa kwanini hawaoani eti bado wanachunguzana sijui miaka 12 naaa uchunguzi gani huo, uchunguzi au ugunduzi?!!
Wimbo Shoga ambayo ilikua ni Copy ya wimbo wa Vijana Jazz(utunzi wa gwiji na Mkongwe Bennovila Antony)Alitamba sana kipindi flani na ile copy ya nyimbo ya zamani
Hakuna tatizo.ni kijijini kidogo.kwa wakina sisi shega tu kuishi,kusaka pesa.ila kwa jina lake,bata zake alizowahi fanya ndo utofauti ulipoLukozi kuna nini kwani?
poa poa mkuuZitafute zipo mtandaoni.hadi yeye pia yupo mitandaoni anapost
dah! kweli maisha mwanaharamuHakuna tatizo.ni kijijini kidogo.kwa wakina sisi shega tu kuishi,kusaka pesa.ila kwa jina lake,bata zake alizowahi fanya ndo utofauti ulipo
Rado naye usiulize, nataka majibu na sio maswali....Marlaw anafaid msambwanda wa besta uko
Mb dog yupoo na mara ya mwisho alikua kwa meneja QS Mhonda..
Mbona Hamuuliz Sajna Wa Ivetha
Kina C.sir Madini
Ibra De Hustler
Kali P
Solid Ground Family
Dullayo
Top C
Hahahaaaa...huo utafiti endelevu....au uchunguzanaji wao ni kama isindingo
Amuoe tu kwakweli make kama alimvisha pete ya uchumba bila shaka imetengeneza kutu kwenye kidole
Walihojiwa kwanini hawaoani eti bado wanachunguzana sijui miaka 12 naaa uchunguzi gani huo, uchunguzi au ugunduzi?!!
Wapi Nemo?, Adili wa Chapakazi?
yule jamaa aliimba nakupenda Hip Hop nasikia kawa mwanajeshi sasa tukumbushane aliitwa nani?
Armstrong na bandago wazee wa michano....umewaachapamoja sana!
kizazi cha sasa wengi hawawezi watambua hawa