Yupo wapi siku hizi?

Yupo wapi siku hizi?

Blandina Mwongezi (Aunt Ndina)
David Mwaibula (Mzee Mwaibula)
Sos B (Sosthenes Ambakisye) wa KukuluKakalaZako(KKZ)
King Dodoo
 
Marlaw anafaid msambwanda wa besta uko

Mb dog yupoo na mara ya mwisho alikua kwa meneja QS Mhonda..

Mbona Hamuuliz Sajna Wa Ivetha
Kina C.sir Madini
Ibra De Hustler
Kali P
Solid Ground Family
Dullayo
Top C
Rado naye usiulize, nataka majibu na sio maswali....
 
Nakumbuka Master j alihojiwa kwenye "Haya ni maisha yangu"; it's like alikuwa anasubiria talaka yake ikamilike coz alifunga ndoa ya Kikatoliki na ex wife wake. Ndo akawa anasema kile kiapo cha Kikatoliki si cha mchezo; ndo maana uhusiano wake na shaa umekuwa on hold; ila soon mambo yatakuwa poa.
Hahahaaaa...huo utafiti endelevu....au uchunguzanaji wao ni kama isindingo
Amuoe tu kwakweli make kama alimvisha pete ya uchumba bila shaka imetengeneza kutu kwenye kidole
Walihojiwa kwanini hawaoani eti bado wanachunguzana sijui miaka 12 naaa uchunguzi gani huo, uchunguzi au ugunduzi?!!
 
Back
Top Bottom