Yupo wapi siku hizi?

Yupo wapi siku hizi?

'Da Jo' ndo emcee pekee aliyesahaulika mazima. Hakunaga mwananzengo yeyote mwenye info yoyote kuhusu huyo mdada. Nilishamuulizia sana humu mara nyingi pasipo kupata any tips. Na tracks zake nazitafuta sanaaaa bila mafanikio.

Da Joo... wherever you are, much luv to ya.

-Kaveli-
 

Attachments

Mike T na track zake
Hali halisi ft Jay dee
Sintobadilika ft Qchief
Je utanipenda ft Mad Ice
Alikuwa bishoo flani hiv classic, namkubali sana

Oten track kali ilikuwa nicheki ninavyongara
Mike Tee, huyu mnyalu alikuwa anajua sna asee

wapi O Ten mzee wa Nichek

wapi Bwana Misosi
 
Aisee Umetish sana mzazi nimezi tafuta sana hizi nyimbo....
Umezitoa chimbo gani
Ile nyimbo ya farida oh pesa unayo
Hizi ngoma ninazo toka kitambo.ndo ninazosikiliza karibu kila siku kuliko kusikiliza manyimbo ya siku hizi.kukusaidia pakuzipata baadhi tafuta uzi flani humu unasomeka "wimbo gani ulioutafuta bila mafanikio"? Humo wadau wametiririsha sana hizi mambo
 
dah hata sijui aisee..
ila nahisi Kali P alikuwa kati ya wasanii wa mwanzo kabisa kuhamia huko
Kuna kipindi kinaitwa Heshima ya Bongo Flava kinarushwa EATV na EA Radio, wanahoji wasanii wa zamani na ngoma za zamani pia
 
YDash yuko kwa madiba anafanyakazi sheli
Makamua Saivi anaigiza Moviee Wanakundi lao Linaitwa Bongohoods Pichaz Wanamuvi zao kali Tuu Huko youtube ... Q jay Nilisikia aliokoka

Pasha alisema alikua Kenya et

Steve RnB yupo tuuuh

Zay B yupp alitoaga kanyimbo na Mr.Blue
Bonta Ni Daktar Yupo kahama saana
Soggy dog namuonaga Instaa Nae Yupoo tuuuh
YP KAshafariki YDaah cjui Alipo
Benja wa mambo jambo saivi Ni Director Wa Video
Mez B alishafariki Mda tuuh
 
Sumbi na bocha maisha yao kwenye TV walikuwa wanayaleta hadi mtaani...kipindi nipo primary nilipanda nao daladala ya ubungo kutokea posta...aisee abiria tulicheka sana mule ndani...walikuwa wanazinguana kinoma sometimes kama utani sometimes kama ukweli, design walikuwa wamelewa..nakumbuka walishukia manzese
 
Miaka ileeee.... unamsikiiza Da Jo akipasuka kwa spika, mara unamsikiiza Zay B yupo gado, mara gafla umamsikia Sista P anakuja. Mara paap unamsikiiza Sir Nature Kiroboto na rap katuni zake akimlilia Sinta. Kabla hujabadili radio station, gafla unamsikiiza Crazy GK naye anaauliza 'atakufaje' baada ya kumzika 'sister sister'.

Hujakaa sawa, unamsikia Jay Moe anaelezea 'majukumu' na 'ulimwengu ndiyo mama' baada ya kuwa amechoshwa na 'maisha ya boarding'.

Mara gafla unamsikia Mentali prof Jay anapamba Jina Lake na kueleza jinsi alivyoopoa demu mkali kwa zali. Mara paap, unamsikia Mwana FA anakwambia ye na mabinti damdam. Gafla kwa mbaaaali unaisikia 'sista duu kama unataka kuja home'.

Aaarggh... Those days when swahili rap was real music.

-Kaveli-

Da jo nilipata taarifa zake miaka mingi imepita,alikuwa ameolewa,aliachana na muziki, sijui yupo wapi kwa sasa. Pia kuna kundi lilitwa w10n (weusi kumi nangangari) na ngoma yao ya makaretee, moja ya ngoma kali za hiphop kuwahi kutokea bongo. Hawa ndio sijawahi kuwasikia popote for years. Ila naamini Sebastian Maganga anaweza kuwa na taarifa za hawa watu, he worked so hard kupromote huu mziki kwa makundi na wasanii waliokuwa wanabaniwa na mawingu
 
Tabia wa kidedea alishatangulia mbele za haki
Habari wakuu.

Nimeona kuna haja ya kuanzisha uzi maalumu wa kufahamu walipo baadhi ya watu wetu waliowahi kujulikana sana enzi hizo.

Leo naanza kwa kutaka kujua wapo wapi watu hawa?

1) Flora Nducha wa Radio One
2) Enika wa baridi kama hii
3) Peter Manyika- Kipa wa Yanga
4) Snare wa East Coast Team
5) KR jibaba wa Wanaume TMK
6)Sinta wa Juma Nature
7) Suma Lee na CPWAA
8) Angel Damas aliwahi kua Miss Tanzania
9) K.sal Mwana Mkiwa
10) Edger Maokola Majongo
11) Masood Sura Mbaya
12) Yule mtunzi wa Jumba la Dhahabu
13) Kibakuli na Swebe wa Kaole
14) Tina na Mjuba wa Tausi
15) Mabaga Fresh

List imeongezeka
Wapo wapi hawa?

1) Sekion David
2)Nyamayao
3)Bab lee wa Kizizi
4)Jimmy Plus wa Misukosuko
5)Tabia wa Kidedea
6) Paulin Zongo
7) Mama Terry wa Ushauri Nasaha
8) MB Dogg na Marlaw
9) Sajna na CSir Madini wa Tetemesha
10) Bery Black na Bery White wa Znz
11) LWP
12) Pingu na Deso
13) YP na YDash
14)Nina wa Mambo hayo
15)Besta

Wengine
1) Rose Chitala
2) Danny Msimamo
3) Da Jo
4) Farida RK
5) Dunga Mandugu Digital
6)
7)
8)
9)
10)
11)
12)
13)
14)
15)


Tujuzane tu

Na kama kuna mtu aliwahi kukufurahisha enzi hizo mtaje hapa jungu kuu halikosi ukoko tujue wapo wapi na wanafanya nini.

kulingana na maoni inasemakana wapo wachache wameshatungulia mbele za haki (R.I.P) wapumzike pema!

Ahsanten.
 
Back
Top Bottom