Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,595
- 3,670
Aaah Dulayo kwel kavuta??? km kwel apumzike pema aseeDullayo nahisi amekata ringi mwaka jana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah Dulayo kwel kavuta??? km kwel apumzike pema aseeDullayo nahisi amekata ringi mwaka jana
Walikuwa na goma lao la "..BOOONGO Bongo dot com, trak inakimbiza na verse ya kiafrika, everytime tunakuja kuwashika na hii nakamata nakwishaa kabisaaa,, booongooo...2"Masela wa TNG wale walivuma sana na Tanga.com wapo wapi?
Dah km ni kweli bc n noma sana,, wako wp East coast team aseePaulina zongo alizalishwa na mtunisi akatelekezwa na ni mgonjwa hana msaada wa ndugu wala rafiki. Anaishi mitaani na kulala jua litakapotua
Sema jamaa alikuwa mtu wa totoz sanaaa,,, kawabandua sana kina jini kabule enzi hzo na mademu wengine wazur wazur mjiniDuh.fame yote ile aishi lukozi.kweli mambo yanabadilika asee
'Da Jo' ndo emcee pekee aliyesahaulika mazima. Hakunaga mwananzengo yeyote mwenye info yoyote kuhusu huyo mdada. Nilishamuulizia sana humu mara nyingi pasipo kupata any tips. Na tracks zake nazitafuta sanaaaa bila mafanikio.
Da Joo... wherever you are, much luv to ya.
-Kaveli-
Mike Tee, huyu mnyalu alikuwa anajua sna asee
wapi O Ten mzee wa Nichek
wapi Bwana Misosi
Noo nimechanganya mkuu, aliekata ringi ni sam wa ukweliAaah Dulayo kwel kavuta??? km kwel apumzike pema asee
Hizi ngoma ninazo toka kitambo.ndo ninazosikiliza karibu kila siku kuliko kusikiliza manyimbo ya siku hizi.kukusaidia pakuzipata baadhi tafuta uzi flani humu unasomeka "wimbo gani ulioutafuta bila mafanikio"? Humo wadau wametiririsha sana hizi mamboAisee Umetish sana mzazi nimezi tafuta sana hizi nyimbo....
Umezitoa chimbo gani
Ile nyimbo ya farida oh pesa unayo
Kuna kipindi kinaitwa Heshima ya Bongo Flava kinarushwa EATV na EA Radio, wanahoji wasanii wa zamani na ngoma za zamani piadah hata sijui aisee..
ila nahisi Kali P alikuwa kati ya wasanii wa mwanzo kabisa kuhamia huko
Makamua Saivi anaigiza Moviee Wanakundi lao Linaitwa Bongohoods Pichaz Wanamuvi zao kali Tuu Huko youtube ... Q jay Nilisikia aliokoka
Pasha alisema alikua Kenya et
Steve RnB yupo tuuuh
Zay B yupp alitoaga kanyimbo na Mr.Blue
Bonta Ni Daktar Yupo kahama saana
Soggy dog namuonaga Instaa Nae Yupoo tuuuh
YP KAshafariki YDaah cjui Alipo
Benja wa mambo jambo saivi Ni Director Wa Video
Mez B alishafariki Mda tuuh
Chiku tuko nae ananyapianyapia siasaniKweli ngoja wa wanajukwaa waje waseme wapi wapi hao miamba ila nimemkumbuka sana Chiku Keto kuanzia BSS mpaka kwa Chidi Benz
Miaka ileeee.... unamsikiiza Da Jo akipasuka kwa spika, mara unamsikiiza Zay B yupo gado, mara gafla umamsikia Sista P anakuja. Mara paap unamsikiiza Sir Nature Kiroboto na rap katuni zake akimlilia Sinta. Kabla hujabadili radio station, gafla unamsikiiza Crazy GK naye anaauliza 'atakufaje' baada ya kumzika 'sister sister'.
Hujakaa sawa, unamsikia Jay Moe anaelezea 'majukumu' na 'ulimwengu ndiyo mama' baada ya kuwa amechoshwa na 'maisha ya boarding'.
Mara gafla unamsikia Mentali prof Jay anapamba Jina Lake na kueleza jinsi alivyoopoa demu mkali kwa zali. Mara paap, unamsikia Mwana FA anakwambia ye na mabinti damdam. Gafla kwa mbaaaali unaisikia 'sista duu kama unataka kuja home'.
Aaarggh... Those days when swahili rap was real music.
-Kaveli-
Kila IJumaa Tunakunja Sura na Kukunjua Roho Kiroho Mbaya.Kuna kipindi kinaitwa Heshima ya Bongo Flava kinarushwa EATV na EA Radio, wanahoji wasanii wa zamani na ngoma za zamani pia
Ya marekani sio ujerumaniIddi ligongo yuko idhaa ya Kiswahili ya ujerumani
Huyo Berry Black kaja ofisini kwetu juzi juzi hapa tukamhudumia, kapungua kiasi, sehemu ya heshima lakini mwana kapiga mlegezo kama kawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaah!! Nooma Saana
Berry Black Na Berry white cjui wako wapii
yeahh Thanks Mkuu
Habari wakuu.
Nimeona kuna haja ya kuanzisha uzi maalumu wa kufahamu walipo baadhi ya watu wetu waliowahi kujulikana sana enzi hizo.
Leo naanza kwa kutaka kujua wapo wapi watu hawa?
1) Flora Nducha wa Radio One
2) Enika wa baridi kama hii
3) Peter Manyika- Kipa wa Yanga
4) Snare wa East Coast Team
5) KR jibaba wa Wanaume TMK
6)Sinta wa Juma Nature
7) Suma Lee na CPWAA
8) Angel Damas aliwahi kua Miss Tanzania
9) K.sal Mwana Mkiwa
10) Edger Maokola Majongo
11) Masood Sura Mbaya
12) Yule mtunzi wa Jumba la Dhahabu
13) Kibakuli na Swebe wa Kaole
14) Tina na Mjuba wa Tausi
15) Mabaga Fresh
List imeongezeka
Wapo wapi hawa?
1) Sekion David
2)Nyamayao
3)Bab lee wa Kizizi
4)Jimmy Plus wa Misukosuko
5)Tabia wa Kidedea
6) Paulin Zongo
7) Mama Terry wa Ushauri Nasaha
8) MB Dogg na Marlaw
9) Sajna na CSir Madini wa Tetemesha
10) Bery Black na Bery White wa Znz
11) LWP
12) Pingu na Deso
13) YP na YDash
14)Nina wa Mambo hayo
15)Besta
Wengine
1) Rose Chitala
2) Danny Msimamo
3) Da Jo
4) Farida RK
5) Dunga Mandugu Digital
6)
7)
8)
9)
10)
11)
12)
13)
14)
15)
Tujuzane tu
Na kama kuna mtu aliwahi kukufurahisha enzi hizo mtaje hapa jungu kuu halikosi ukoko tujue wapo wapi na wanafanya nini.
kulingana na maoni inasemakana wapo wachache wameshatungulia mbele za haki (R.I.P) wapumzike pema!
Ahsanten.
Duh.fame yote ile aishi lukozi.kweli mambo yanabadilika asee