Yupo wapi Tundu Lissu? Ni kweli anajiandaa kujiunga CCM?

Yupo wapi Tundu Lissu? Ni kweli anajiandaa kujiunga CCM?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Tundu Lisu yupo kimya sana baada ya kufanya mikutano Mkoa wa Singida. Alipata uungwaji mkono mkubwa sana jambo linaloweza kuwa limepelekea mahasimu wake wampangie bei.

Since then, ametulia na amepunguza makeke hata kwenye social midia. Ndugu yetu huyu aliyekunywa maji ya bendera na mzalendo wa kweli yupo wapi?

Yupo tayari kwenda kupangiwa cha kusema na akina Kibajaji kama wanavyomdhalilisha Msigwa majukwaani?

My brother, bora ufe masikini ukiwa na msimamo wako kuliko kuuza utu wako leo kwa vipande vya fedha na madaraka. Bora chadema mbovu kuliko CCm Chuku chuku.

Wilbrod Silaa alikata tamaa akiamini tatizo ni chadema lakini sasa hivi amegundua tatizo kubwa ni CCM .

Tundu Lisu epuka vipande vya fedha, kataa uwaziri Mkuu au umakamu wa Rais, kubali kwamba upo Duniani kama Mussa kuwavisha watanzania kueelekea kwenye ukombozi aidha ukiwa hai au ukiwa haupo Duniani wanao watapewa nishani kwa niaba ya baba yao
 
SK Media amesema wakati tukielekea uchaguzi serikali za mitaa na serikali kuu zipo jitihada za Kishetani za Watawala kupunguza nguvu za upinzani kwa kuwanunua,kuwatisha,kuwagawa, kutumia mitandao/magazeti kuwachanganya kwa propoganda, kupenyeza usalama wa taifa kwenye mifumo, kuwafilisi, kuwateka,kubambikizia kesi,kuwachafua ili wasiaminike na jamii, kuzalisha makundi ya jamii na taasisi mpya shindani na mbinu nyinginezo. Kwa namna yoyote kila tukio liangaliwe kwa jicho la tatu.
Maoni ya SK Media ni muhimu yanaibua njama za watawala kuwamaliza zingatieni kwa umakini mkubwa. Hii ni vita kubwa imeanza na Siasa ni Sayansi. wenzenu wako kazini, nyie je mna mbinu zipi za kujikinga au kuzuia/au kuzoofisha upande wa pili jitambueni? Ushindi ni mchakato wa muda mrefu wenye mikakati endelevu, kutangazwa ni hatua ya mwisho tu.CCM ni mabingwa wa kucheza na mindset za watu, kaeni chini mjadili mipango mikakati yetu. Nguzo kwa sasa ni Mbowe na Lissu ongozeni mapambano mkisaidiana na kamati kuu mmepewa dhamana kubwa.Don't remain unorgnized!

Mimi Mpenda Maendeleo.
 
Tundu Lisu yupo kimya sana baada ya kufanya mikutano Mkoa wa Singida. Alipata uungwaji mkono mkubwa sana jambo linaloweza kuwa limepelekea mahasimu wake wampangie bei.

Since then, ametulia na amepunguza makeke hata kwenye social midia. Ndugu yetu huyu aliyekunywa maji ya bendera na mzalendo wa kweli yupo wapi?

Yupo tayari kwenda kupangiwa cha kusema na akina Kibajaji kama wanavyomdhalilisha Msigwa majukwaani?

My brother, bora ufe masikini ukiwa na msimamo wako kuliko kuuza utu wako leo kwa vipande vya fedha na madaraka. Bora chadema mbovu kuliko CCm Chuku chuku.

Wilbrod Silaa alikata tamaa akiamini tatizo ni chadema lakini sasa hivi amegundua tatizo kubwa ni CCM .

Tundu Lisu epuka vipande vya fedha, kataa uwaziri Mkuu au umakamu wa Rais, kubali kwamba upo Duniani kama Mussa kuwavisha watanzania kueelekea kwenye ukombozi aidha ukiwa hai au ukiwa haupo Duniani wanao watapewa nishani kwa niaba ya baba yao
Lisu alikuwa nccr,kutoka tena sio ishu.

Machadema ndio itakuwa mwisho wenu 😂😂😂😂
 
Tundu Lisu yupo kimya sana baada ya kufanya mikutano Mkoa wa Singida. Alipata uungwaji mkono mkubwa sana jambo linaloweza kuwa limepelekea mahasimu wake wampangie bei.

Since then, ametulia na amepunguza makeke hata kwenye social midia. Ndugu yetu huyu aliyekunywa maji ya bendera na mzalendo wa kweli yupo wapi?

Yupo tayari kwenda kupangiwa cha kusema na akina Kibajaji kama wanavyomdhalilisha Msigwa majukwaani?

My brother, bora ufe masikini ukiwa na msimamo wako kuliko kuuza utu wako leo kwa vipande vya fedha na madaraka. Bora chadema mbovu kuliko CCm Chuku chuku.

Wilbrod Silaa alikata tamaa akiamini tatizo ni chadema lakini sasa hivi amegundua tatizo kubwa ni CCM .

Tundu Lisu epuka vipande vya fedha, kataa uwaziri Mkuu au umakamu wa Rais, kubali kwamba upo Duniani kama Mussa kuwavisha watanzania kueelekea kwenye ukombozi aidha ukiwa hai au ukiwa haupo Duniani wanao watapewa nishani kwa niaba ya baba yao
Samia ni bingwa wa modern politics,wako wapi Wapinzani? 😁😁👇👇
20240707_173933.jpg
 
Kuna watu Tundu Lissu mmemfahamu juzijuzi tu,Tundu yuko tayari kukaa bila chama ila sio kujiunga CCM
This is correct. Hawa waliofahamu akiwa bungeni wanadhani jamaa anayumbayumba sana. Wasikilize hotuba za Mkapa na JK za miaka ya 2000.
 
Lisu anaweza kwenda CUF
Lisu CDM anapoteza muda tu kama mwenyekiti ameshindwa kuhamasisha makamu wake achangiwe ili apate gari jipya na tukimuona Lisu anafanya mikutano na mkweche wake kuna nini hapo.
 
SK Media amesema wakati tukielekea uchaguzi serikali za mitaa na serikali kuu zipo jitihada za Kishetani za Watawala kupunguza nguvu za upinzani kwa kuwanunua,kuwatisha,kuwagawa, kutumia mitandao/magazeti kuwachanganya kwa propoganda, kupenyeza usalama wa taifa kwenye mifumo, kuwafilisi, kuwateka,kubambikizia kesi,kuwachafua ili wasiaminike na jamii, kuzalisha makundi ya jamii na taasisi mpya shindani na mbinu nyinginezo. Kwa namna yoyote kila tukio liangaliwe kwa jicho la tatu.
Maoni ya SK Media ni muhimu yanaibua njama za watawala kuwamaliza zingatieni kwa umakini mkubwa. Hii ni vita kubwa imeanza na Siasa ni Sayansi. wenzenu wako kazini, nyie je mna mbinu zipi za kujikinga au kuzuia/au kuzoofisha upande wa pili jitambueni? Ushindi ni mchakato wa muda mrefu wenye mikakati endelevu, kutangazwa ni hatua ya mwisho tu.CCM ni mabingwa wa kucheza na mindset za watu, kaeni chini mjadili mipango mikakati yetu. Nguzo kwa sasa ni Mbowe na Lissu ongozeni mapambano mkisaidiana na kamati kuu mmepewa dhamana kubwa.Don't remain unorgnized!

Mimi Mpenda Maendeleo.
Tuko pamoja
 
Back
Top Bottom