Yupo wapi Tundu Lissu? Ni kweli anajiandaa kujiunga CCM?

Yupo wapi Tundu Lissu? Ni kweli anajiandaa kujiunga CCM?

Yeye ana mambo yake.Si unaona hadi anauliziwa yuko wapi?Wewe omba uwe unafuafua vikwembe na kaptula za Abdul.Watakupa dau nono.Uwakili wa serikali huwezi.Una vyeti bandia mkuu.
Yuko Kwa bwanake Ubelgiji.Wamegawana fito baada ya kuzulumiana ulaji 😁😁
 
😌

💉 Isije ikawa anafanya 'Exposure therapy" Gharama zake basi!

Ikitokea akawa mwandamizi wa Serikali.....ataligharimu Taifa mara saba ya Mugabe, Bongo na wakuu wengine wanaokimbilia ulaya kwa matibabu kila baada ya miezi mitatu.

So far, hii ndio trend yake. Kila baada ya miezi michache anaenda ulaya kwenye matibabu-wenyewe wanadai mapumziko-kwa gharama kubwa tu.

Akipewa huo nusu mkate itakuwaje? Je, Serikali itakuwa inamhudumia? Je, kama inavyosikika kwamba CHADEMA itaenda kukata kata na kupunguza matumizi ya Serikali, watawezaje kumgharamia matibabu yake?😭

CHAGUA kwa Umakini 2024-2025
 
Apige magoti aombe msamaha, kwa yote mabaya aliyosema kuhusu CCM, atapokelewa. Nashauri cheo chake cha mwisho ni uwaziri, tena katiba na sheria. Hawezi kuwa mkuu wa nchi.
 
Tundu Lisu yupo kimya sana baada ya kufanya mikutano Mkoa wa Singida. Alipata uungwaji mkono mkubwa sana jambo linaloweza kuwa limepelekea mahasimu wake wampangie bei.

Since then, ametulia na amepunguza makeke hata kwenye social midia. Ndugu yetu huyu aliyekunywa maji ya bendera na mzalendo wa kweli yupo wapi?

Yupo tayari kwenda kupangiwa cha kusema na akina Kibajaji kama wanavyomdhalilisha Msigwa majukwaani?

My brother, bora ufe masikini ukiwa na msimamo wako kuliko kuuza utu wako leo kwa vipande vya fedha na madaraka. Bora chadema mbovu kuliko CCm Chuku chuku.

Wilbrod Silaa alikata tamaa akiamini tatizo ni chadema lakini sasa hivi amegundua tatizo kubwa ni CCM .

Tundu Lisu epuka vipande vya fedha, kataa uwaziri Mkuu au umakamu wa Rais, kubali kwamba upo Duniani kama Mussa kuwavisha watanzania kueelekea kwenye ukombozi aidha ukiwa hai au ukiwa haupo Duniani wanao watapewa nishani kwa niaba ya baba yao
Kulikoni mbona wasiwasi? 🤣
 
Apige magoti aombe msamaha, kwa yote mabaya aliyosema kuhusu CCM, atapokelewa. Nashauri cheo chake cha mwisho ni uwaziri, tena katiba na sheria. Hawezi kuwa mkuu wa nchi.
Yaani apige magoti na kumsujudia shetani ili apate kutupiwa makombo na majizi ya kura?!
 
Tundu Lisu yupo kimya sana baada ya kufanya mikutano Mkoa wa Singida. Alipata uungwaji mkono mkubwa sana jambo linaloweza kuwa limepelekea mahasimu wake wampangie bei.

Since then, ametulia na amepunguza makeke hata kwenye social midia. Ndugu yetu huyu aliyekunywa maji ya bendera na mzalendo wa kweli yupo wapi?

Yupo tayari kwenda kupangiwa cha kusema na akina Kibajaji kama wanavyomdhalilisha Msigwa majukwaani?

My brother, bora ufe masikini ukiwa na msimamo wako kuliko kuuza utu wako leo kwa vipande vya fedha na madaraka. Bora chadema mbovu kuliko CCm Chuku chuku.

Wilbrod Silaa alikata tamaa akiamini tatizo ni chadema lakini sasa hivi amegundua tatizo kubwa ni CCM .

Tundu Lisu epuka vipande vya fedha, kataa uwaziri Mkuu au umakamu wa Rais, kubali kwamba upo Duniani kama Mussa kuwavisha watanzania kueelekea kwenye ukombozi aidha ukiwa hai au ukiwa haupo Duniani wanao watapewa nishani kwa niaba ya baba yao
Hivi pale chadema kuna kiumbe angalau mwenye akili kumzidi Lissu? Hata hivyo lissu amekuwa mjinga muda mrefu sana inawezekanaje graduate wa warwick University anapelekwa puta na mtu ambae hada walau kadegree kamoja tu (mzee mbowe?
 
Ningetamani sana kujua maongezi ya Mwisho na Msigwa kule Singuda yalikuwa ni nini? Maana Msigwa alikuwa na Lissu huko Singida na alipo toka akahamia CCM...Sijui ilikuwaje au ndio ilikuwa kumuaga makamu Lissu.
Jingine ni kwamba, Msigwa anamponda zaidi Mbowe kuliko Lisu, kuna namna hapa maana CDM sio Mbowe pekee.
Acha kujitoa ufahamu ,ina maana hujui kuwa CDM ni SACCOS ya mzee Mbowe?
 
Back
Top Bottom