sacred wall
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 804
- 1,322
pumbavu zakoHii tabia ya kuulizia walipo wengine wakati sisi wenyewe hatujui hata leo mchana tutakuwa wapi ikome, ni ushamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pumbavu zakoHii tabia ya kuulizia walipo wengine wakati sisi wenyewe hatujui hata leo mchana tutakuwa wapi ikome, ni ushamba.
Du hii nayo kali sasa,kwani wewe huwa huulizi usipomuona mtu unayemfahamu sehemu?Hii tabia ya kuulizia walipo wengine wakati sisi wenyewe hatujui hata leo mchana tutakuwa wapi ikome, ni ushamba.
Alikutembeleaga huyo kiumbe mla nnyaCorona ni kama zile stori za Popo bawa [emoji23][emoji23]
Usikonde. Piga nyungu sana, epuka misongamano, epuka safari zisizo za lazima, tumia vitakasa mikono, vaa barakoa, na dai chanjo ije haraka. Utanenepa. Nukta.Hii tabia ya kuulizia walipo wengine wakati sisi wenyewe hatujui hata leo mchana tutakuwa wapi ikome, ni ushamba.
Looo kumbe Esther luxury ni mabasi yake!!! Kuanzia leo sipandi tena hizi gari.Umemtafuta ndani ya Mabasi yake ya Esther ukamkosa?
Pole kwa Kuchelewa kulijua hilo Ndugu.Looo kumbe Esther luxury ni mabasi yake!!! Kuanzia leo sipandi tena hizi gari.
Esther ni jina la maza akeLooo kumbe Esther luxury ni mabasi yake!!! Kuanzia leo sipandi tena hizi gari.
Aisee mimi pia ni mtu wa tizi...sasa siku ya mechi ya Simba na mechi ya yanga last wk end...nilipiga nyingi sana nikawa nashangaa hangover gani isiyoisha....kumbe covid kapita humo mzee...dalili zote zimo..this kitu is real asee...bado nipo caranteen.Corona itamfichua aliko , sababu hiyo inapenya kila sehemu huwezi kujificha, mimi mwenyewe ilisha nishika siku 20 nilikuwa ndani chini ya caranteen muda mwingine ili bidi nifungue madirisha yote sababu niliona hewa haitoshi lakini sikwenda hospitalini wala kutumia dawa yoyote sababu ni mtu wa mazoezi muda wote na kufanya kazi nzito.
Ebwanaee sipandi tena,Esther ni jina la maza ake
Sawa mkuuEbwanaee sipandi tena,
Phd yuleHuyu ndugu alikua mstari wa mbele kila wakati kusifia kwa kiwango cha juu sana kua haijawahi kutokea dunia nzima tumetokomeza ugonjwa wa Corona na Viongozi wa mataifa waje kwetu kujifunza.
Sijamsikia tangu juzi bungeni angalau angejitokeza hata kutoa salam za rambi rambi kwenye account yake. Yupo wapi hivi sasa schoolmate wangu Ilboru enzi hizo?
Alikua akiongea maneno magumu sana na alikua mstari wa mbele kuishauri serikali ifiche takwimu za maambukizi na vifo vya korona. Mwigulu aliwaona wanashauri vinginevyo hawafai kabisa katika taifa hili.
Yupo wapi hivi sasa ndugu yetu huyu?
mwigulu njoo huku school mate wako anakutafuta ujibu deportivo ipo nchini au la.Huyu ndugu alikua mstari wa mbele kila wakati kusifia kwa kiwango cha juu sana kua haijawahi kutokea dunia nzima tumetokomeza ugonjwa wa Corona na Viongozi wa mataifa waje kwetu kujifunza.
Sijamsikia tangu juzi bungeni angalau angejitokeza hata kutoa salam za rambi rambi kwenye account yake. Yupo wapi hivi sasa schoolmate wangu Ilboru enzi hizo?
Alikua akiongea maneno magumu sana na alikua mstari wa mbele kuishauri serikali ifiche takwimu za maambukizi na vifo vya korona. Mwigulu aliwaona wanashauri vinginevyo hawafai kabisa katika taifa hili.
Yupo wapi hivi sasa ndugu yetu huyu?
Labda kashuka anachimba dawa.Umemtafuta ndani ya Mabasi yake ya Esther ukamkosa?
We kama nani yani?Hii tabia ya kuulizia walipo wengine wakati sisi wenyewe hatujui hata leo mchana tutakuwa wapi ikome, ni ushamba.
Alikuwa akiongea maneno magumu sana na alikuwa mstari wa mbele kuishauri Serikali ifiche takwimu za maambukizi na vifo vya korona.
Yupo wapi hivi sasa ndugu yetu huyu?