Nikikumbuka Tambo za bwana Manji kipind ametajwa na Makonda kama Drug dealer, hapo ndo napata uhakika kuwa vyombo vya dola vina nguvu kuliko pesa ya MTU hasa vikifanya kazi kizalendo. Wakati wa kesi zake alitia huruma sana huyu boss. Mwenye picha yake tafadhali naomba.
Ameikuta Tanzania ipo uchumi wa kati na viwanda vipya kibao.Karibu. Lkn awe na nidhamu, fedha yake isimpe kiburi kudharau serikali.
Hivi akija muhindi aka anzisha kiwanda au pengine akachukua kiwanda kilichotelekezwa mfano kiwanda cha Tumbaku/Nguo nk, akaajiri watanzania wa kawaida tena ambao hawana ujuzi zaidi ya 300, akasaidia wakulima wa Pamba/ Tumbaku wakapata bei nzuri, huku akiwalipa wafanyakazi/watanzania mishahara waendeshe maisha yao; Kipi bora? tuache kiwanda kiwe gofu?Wataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje !!! Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi!!!! Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi!!!
..maovu yote wanayafanya kwa msaada wetu sisi wazawa na haswa watu wakubwa serikalini na ktk chama cha mapinduzi.
Watanzania wengi ni myopic na short term memory. JPM hakupenda ukanjanja hao watu wanatumia mianya ya vichwa vibovu vya baadhi ya watawala wetu nasi tunabaki kuwa third class .kama sikosei Kati ya hao wapo waliochukua mashamba thousands of areas wanachukua mikopo nje then wanafanya Yao .hao ndo mnawaona wajanja wenu na JPM was nothing .black people men tuna misalabaWataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje !!! Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi!!!! Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi!!!
Na wewe fanya biashara za magendo uonw Kama ni kitu chepesi,mtaishia kuahindia mihogo ya 500 ya kukaangaWataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje !!! Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi!!!! Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi!!!
Wewe ulitaka akili zao ziwe kwenye kutengeneza hasara? Kaomboleze na waliokuzaa kwa umaskini wenuWataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje !!! Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi!!!! Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi!!!
Wewe na baba yako umelipa kodi kiasi gani kabla ya kupayuka kwa jasho la mwingine?Pabaya wapi, Wengi wa Watanzania walishazoea Kula chakula cha kutupiwa kama mbwa, na wanaowatupia chakula hicho ndio hao mnaowatetea leo!!
Shida ni uvivu na kukosa uchungu wa kwanini ulizaliwa Tz na upo Tz ili iwe nini, wengi hawaelewi, ispokuwa wanafurahia tu kuwepo Tz pasina kuelewa Ni kivipi kwenye nchi za wengine mtu akiwa mkwepa Kodi Adhabu yake huwa ni kubwa na kali Sana,
Tofauti na Hapa kwetu, mtu akiwa mkwepa Kodi, atayemfuatilia alipe Kodi ataonekana ndiye hafai na ananyanyasa watu
Nchi yangu ya ajabuu sana
Udhulumati uliasisiwa na viongozi toka kanda ya ziwa ndio umewafanya wasirudie kosa, nyumba zote za msajili kila mahali tz walijenga wao ila sio baada ya hapoAlafu hawa jamaa uwa hawajengi nyumba za kuishi, labda huko dar. Zaidi Uwa wanafakamia nyumba za msajili
Yaani manji alikwepa kodi? UnajisahaulishaPabaya wapi, Wengi wa Watanzania walishazoea Kula chakula cha kutupiwa kama mbwa, na wanaowatupia chakula hicho ndio hao mnaowatetea leo!!
Shida ni uvivu na kukosa uchungu wa kwanini ulizaliwa Tz na upo Tz ili iwe nini, wengi hawaelewi, ispokuwa wanafurahia tu kuwepo Tz pasina kuelewa Ni kivipi kwenye nchi za wengine mtu akiwa mkwepa Kodi Adhabu yake huwa ni kubwa na kali Sana,
Tofauti na Hapa kwetu, mtu akiwa mkwepa Kodi, atayemfuatilia alipe Kodi ataonekana ndiye hafai na ananyanyasa watu
Nchi yangu ya ajabuu sana
Magaacholi ndivyo walivyo. Hata hivyo, kuna wakubwa nyuma yake. Mara hii mmesahau akina Chavda na Gulamali bila kumsahau fisadi wa Igunga Rostam Aziz?Mfanyabiashara maarufu nchini Yusuph Manji amerejea jioni ya leo Juni 01,2021 kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA)
Manji alipowasili leo alizuiliwa kwa muda na maofisa Uhamiaji waliotaka kujiridhisha na uraia wake na kisha aliruhusiwa baada ya Maofisa hao kujiridhisha na uraia wake.
Manji amewahi kuhudumu akiwa Mwenyekiti wa Klabu maarufu ya Yanga.
*Mtanzania
Nikweli walitsifishiwa mkuu. Zulma haimwachi mtu salama mkuu.Udhulumati uliasisiwa na viongozi toka kanda ya ziwa ndio umewafanya wasirudie kosa, nyumba zote za msajili kila mahali tz walijenga wao ila sio baada ya hapo
Na wewe fanya biashara za magendo uonw Kama ni kitu chepesi,mtaishia kuahindia mihogo ya 500 ya kukaanga
Mfanyabiashara maarufu nchini Yusuph Manji amerejea jioni ya leo Juni 01,2021 kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA)
Manji alipowasili leo alizuiliwa kwa muda na maofisa Uhamiaji waliotaka kujiridhisha na uraia wake na kisha aliruhusiwa baada ya Maofisa hao kujiridhisha na uraia wake.
Manji amewahi kuhudumu akiwa Mwenyekiti wa Klabu maarufu ya Yanga.
*Mtanzania
Waje tu kwani sioni hata kilichofanyika huo muda mnaosema kuwa eti vichochoro vilizibwa, tuvune mabua mala ngapi?cha muhimu maisha yarudi, kawaida, kama huko nyuma, kwani miaka hiyo mitano kipi cha kujivunia kuwa tulifaidika nacho?zaidi ya dhuruma na mateso?hali ya maisha imezidi kuwa ngumu, mishahara haikuongezwa, gharama za matibabu ziko juu, kibaya zaidi deni la taifa limekuwa kubwa mno!!pesa, za watu zimekombwa??Nasema waje tu wote waliokimbia tujenge nchi, wao wapate na mimi masikini niambulie , .MUNGU FUNDI SANA.Wataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje !!! Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi!!!! Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi!!!
Wewe ulitaka akili zao ziwe kwenye kutengeneza hasara? Kaomboleze na waliokuzaa kwa umaskini wenu