TANZIA Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani

Apumzike kwa Amani mwananchi huyu. Kuna kipindi alituheshimisha.
 
Waliokabidhiwa hizo mali wajiongeze zaidi ya yeye
 
Ni kawaida. Dunia ina watu more than 7,000,000,000. Kama kwa mwaka 1% ya hao wanafariki, that means kwa mwaka wanafariki watu 70,000,000. Hiyo ni sawa na watu 191,781 kila siku. So, probability p(x) kwamba atafariki mtu maarufu kwa mwaka ni kubwa; so it's normal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…