TANZIA Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani

TANZIA Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani

Sasa itakuwaje ?
Yusufu Manji is no more.

Kifo hakina huruma,
Kifo umeua wazazi wangu,
Kifo umeua Magufuli,
Kifo hauna huruma.

Kifo uko wapi? Kweli haupokei hongo.

Naona kukumiss japo hukunifahamu Manji.

Rest Easy tajiri.
 
View attachment 3029953
Yusuf Manji enzi za uhai wake
Mfanyabiashara maarufu na aliyekuwa mdhamini wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji amefariki dunia jana Jumamosi Juni 29, 2024 saa 6 usiku katika Jimbo la Florida nchini Marekani alipokuwa anapatiwa matibabu.

Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na mtoto wake, Mehbub Manji akizungumza na Mwananchi Digital muda mfupi uliopita.

Yusuf Manji alikuwa ni Mkurugenzi Mtendaji wa Quality Group Limited (QGL), kampuni inayojihusisha na sekta mbalimbali kama vile magari, ujenzi, vifaa vya kilimo, utalii, huduma za afya, na mali isiyohamishika.

Manji pia alifahamika kwa kujihusisha na shughuli za kijamii na misaada mbalimbali nchini Tanzania. Pia amewahi kuwa mwenyekiti wa klabu ya soka ya Yanga.

Pia Manji alijihusisha na siasa kupitia Chama cha Mapinduzi na kufanikiwa kuwa Diwani wa Kata ya Mbagala Kuu Manispaa ya Temeke. Septemba 6, 2017 alipoteza sifa ya Udiwani kutokana na kutohudhuria vikao zaidi ya sita na vikao vya kamati vya maendeleo ya halmashauri ya Temeke zaidi ya vitatu.

Atakumbukwa kwa mafanikio makubwa na mchango wake katika uchumi wa Tanzania.

Pia soma
- Yusuf Manji apoteza sifa ya kuwa Diwani wa Mbagala Kuu kwa kushindwa kuhudhuria vikao
dunia hii si yetu, nakumbuka watu hawa watatu walivyokuwa wakishambuliana katika media lakini wote marehemu. Almaruhumu Sheikh Baswalehe(Allah amsamehe makosa yake) , Yussuf Manji(amsamehe makosa yake) na Mheshimiwa Raginal Mengi (Allah amlaze anaposatahili)- HAWA WOTE SASA MAREHEMU. Tunatakiwa tuwe chawa wa Allah na sio Chawa wa binaadam wenzetu
 
dunia hii si yetu, nakumbuka watu hawa watatu walivyokuwa wakishambuliana katika media lakini wote marehemu. Almaruhumu Sheikh Baswalehe(Allah amsamehe makosa yake) , Yussuf Manji(amsamehe makosa yake) na Mheshimiwa Raginal Mengi (Allah amlaze anaposatahili)- HAWA WOTE SASA MAREHEMU. Tunatakiwa tuwe chawa wa Allah na sio Chawa wa binaadam wenzetu
You mean REGINALD MENGI
 
View attachment 3029953
Yusuf Manji enzi za uhai wake
Mfanyabiashara maarufu na aliyekuwa mdhamini wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji amefariki dunia jana Jumamosi Juni 29, 2024 saa 6 usiku katika Jimbo la Florida nchini Marekani alipokuwa anapatiwa matibabu.

Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na mtoto wake, Mehbub Manji akizungumza na Mwananchi Digital muda mfupi uliopita.

Yusuf Manji alikuwa ni Mkurugenzi Mtendaji wa Quality Group Limited (QGL), kampuni inayojihusisha na sekta mbalimbali kama vile magari, ujenzi, vifaa vya kilimo, utalii, huduma za afya, na mali isiyohamishika.

Manji pia alifahamika kwa kujihusisha na shughuli za kijamii na misaada mbalimbali nchini Tanzania. Pia amewahi kuwa mwenyekiti wa klabu ya soka ya Yanga.

Pia Manji alijihusisha na siasa kupitia Chama cha Mapinduzi na kufanikiwa kuwa Diwani wa Kata ya Mbagala Kuu Manispaa ya Temeke. Septemba 6, 2017 alipoteza sifa ya Udiwani kutokana na kutohudhuria vikao zaidi ya sita na vikao vya kamati vya maendeleo ya halmashauri ya Temeke zaidi ya vitatu.

Atakumbukwa kwa mafanikio makubwa na mchango wake katika uchumi wa Tanzania.

Pia soma
- Yusuf Manji apoteza sifa ya kuwa Diwani wa Mbagala Kuu kwa kushindwa kuhudhuria vikao
Apumzike kwa amani..poleni familia, ndugu, jamaa na marafiki. Ila sijaelewa kwanini picha imeandikwa "enzi za uhai wake"...
 
View attachment 3029953
Yusuf Manji enzi za uhai wake
Mfanyabiashara maarufu na aliyekuwa mdhamini wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji amefariki dunia jana Jumamosi Juni 29, 2024 saa 6 usiku katika Jimbo la Florida nchini Marekani alipokuwa anapatiwa matibabu.

Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na mtoto wake, Mehbub Manji akizungumza na Mwananchi Digital muda mfupi uliopita.

Yusuf Manji alikuwa ni Mkurugenzi Mtendaji wa Quality Group Limited (QGL), kampuni inayojihusisha na sekta mbalimbali kama vile magari, ujenzi, vifaa vya kilimo, utalii, huduma za afya, na mali isiyohamishika.

Manji pia alifahamika kwa kujihusisha na shughuli za kijamii na misaada mbalimbali nchini Tanzania. Pia amewahi kuwa mwenyekiti wa klabu ya soka ya Yanga.

Pia Manji alijihusisha na siasa kupitia Chama cha Mapinduzi na kufanikiwa kuwa Diwani wa Kata ya Mbagala Kuu Manispaa ya Temeke. Septemba 6, 2017 alipoteza sifa ya Udiwani kutokana na kutohudhuria vikao zaidi ya sita na vikao vya kamati vya maendeleo ya halmashauri ya Temeke zaidi ya vitatu.

Atakumbukwa kwa mafanikio makubwa na mchango wake katika uchumi wa Tanzania.

Pia soma
- Yusuf Manji apoteza sifa ya kuwa Diwani wa Mbagala Kuu kwa kushindwa kuhudhuria vikao
Pole Kwa wafiwa.

Alizinguliwa sana na Serikali ya Magufuli huyu bwana
 
Mimi namzungumzia manji hakuwaga MTU wa maneno mengi Wala longo longo Wala blabla..

Barabara zote kijichi Zina lami hio yote Ni Asante MANJI..

Ni boss ambae Hakuwa na maneno mengi Ni mzee wa action na wote ambao wamewai ku SHARE A MOMENT FOR LIFE na manji wanamuelezea Kama a real GENTLEMAN

Askofu GWAJIMA aliwai kumzungumzia manji kwa mazuri walipo kutana kituo Cha polisi walipo itwa na makonda kipindi Cha Ile saga ya madawa ya kulevya

Pia siku za mwisho za uhai wa magufuli walikutanaga na manji kwenye uzinduzi wa viwanda vya manji morogoro...

Apumzike kwa amani Tajiri MANJI
Dons wa awamu ya nne wanaondoka!!

Waliowika kwenye mchakato wa urais 2015 wanaondoka :-

Membe,Lowasa,Manji....!!!?Ni kama JPM aliwafunngulia njia ya kwenda huko!!!
 
Back
Top Bottom