Ndio tusinyimane mbusush jameni....dunia tunapita tuuDunia tunapita tuishi na watu vizuri...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio tusinyimane mbusush jameni....dunia tunapita tuuDunia tunapita tuishi na watu vizuri...!
Wewe ni baba angu ila unajitoa ufahamuNdio tusinyimane mbusush jameni....dunia tunapita tuu
Kwani nimekuzaaa mpaka niwe baba yako🤣🤣🤣🤣Wewe ni baba angu ila unajitoa ufahamu
Binti yako wa kwanza hauishi nae ndio mimiKwani nimekuzaaa mpaka niwe baba yako🤣🤣🤣🤣
SubhanAllah!Binti yako wa kwanza hauishi nae ndio mimi
Siku ile nimekuona upo jf ukaacha simu nikaview username ni mzabzab na hili nishawahi kulisema humu
Kwahiyo kwa sasa njia ipo wazi kwa wote wahusika ???! 🙄😳🤠🤠Dons wa awamu ya nne wanaondoka!!
Waliowika kwenye mchakato wa urais 2015 wanaondoka :-
Membe,Lowasa,Manji....!!!?Ni kama JPM aliwafunngulia njia ya kwenda huko!!!
Sada kwani niki ku-harmonize shoda iko wapi. Mbona wababa wengi tuu wanakula kuku na kifaranga chake🤣🤣🤣🤣Binti yako wa kwanza hauishi nae ndio mimi
Siku ile nimekuona upo jf ukaacha simu nikaview username ni mzabzab na hili nishawahi kulisema humu
Iko vile !Sa hivi watoto wake wanachekea chooni
Gereji haiwezi kufungwa kwa haraka hivyo maana Siri ya mtungi inatoka hapoPole kwa familia, pumzika kwa amani.... Yule dereva alishatoka yuko kijijini yuko porini analima nyanya kwa heka heka alizopitia gerezani na minyoosho kaamua atulie..... Risasi ya mguuni kwenye ile kesi ilimfanya awe kilema na alipoteza kila kitu miaka 12 gerezani mke, watoto mali!. Najua jf wanapita wengi wanaojua hii code wataelewa.. Ile gereji ni muda muafaka wa kufungwa na ulioko kule dodoma michezo ile iache.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine hawalijui hilo !Kila nafsi ITAONJA umauti
Itakuwa wanamfuata huko 😳😳Huyo shetani wako yupo motoni
MAGUFULI ALITAKA KUMUOKOA KWA KUMUACHISHA NGADA YEYE NA WAISIHARAMU WENZAKE WAKAMTUKANA NA KUMWITA DICTATOR...CHEKI SASA NGADA ZIMEMUONDOA BAADA YA KUCHANGANYA PODA ZA MADAWA YA KULEVYA NA DAWA ZA MAHOSPITALINI ...NIKAMA MLEVI WA POMBE ANAPO KUWA NA DOZI YA DAWA ZA HOPITALINI ANASHAURIWA KUTULIA KUNYA POMBE KWANZA MAANA UKICHANGANYA MAMBO YANAKUWA SIYO ....Ghafula tu!hata kuugua kwake hamna!!?
Wajuvi waweke nyama kidogo!
Au Domino effect zimeanza!!?
RIP comrade!
Sijasema hivyoKwamba jasusi la kimataifa alikua na mkono kwenye msiba mzito sio?
Manji alikuwa anaishi na vyuma kwenye mishipa ya moyo wake (Stent’s)Miaka yote mitatu haja recover, kwahy ikitokea Na kwa Lissu bado mtasema haja recover. Kwan Kat Ya lisuu na Manji nani alipewa dozi nene?
Aisee tumtafute Mungu kwa bidii sana , pesa sio chochote chini ya juaMfanyabiashara maarufu na aliyekuwa mdhamini wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji amefariki dunia jana Jumamosi Juni 29, 2024 saa 6 usiku katika Jimbo la Florida nchini Marekani alipokuwa anapatiwa matibabu.
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na mtoto wake, Mehbub Manji akizungumza na Mwananchi Digital muda mfupi uliopita.
Yusuf Manji alikuwa ni Mkurugenzi Mtendaji wa Quality Group Limited (QGL), kampuni inayojihusisha na sekta mbalimbali kama vile magari, ujenzi, vifaa vya kilimo, utalii, huduma za afya, na mali isiyohamishika.
Manji pia alifahamika kwa kujihusisha na shughuli za kijamii na misaada mbalimbali nchini Tanzania. Pia amewahi kuwa mwenyekiti wa klabu ya soka ya Yanga.
Pia Manji alijihusisha na siasa kupitia Chama cha Mapinduzi na kufanikiwa kuwa Diwani wa Kata ya Mbagala Kuu Manispaa ya Temeke. Septemba 6, 2017 alipoteza sifa ya Udiwani kutokana na kutohudhuria vikao zaidi ya sita na vikao vya kamati vya maendeleo ya halmashauri ya Temeke zaidi ya vitatu.
Atakumbukwa kwa mafanikio makubwa na mchango wake katika uchumi wa Tanzania.
Pia soma
- Yusuf Manji apoteza sifa ya kuwa Diwani wa Mbagala Kuu kwa kushindwa kuhudhuria vikao