Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Jumba bovu angeanguashiwa JPM🙂Imagine angekufa kipindi cha JPM 😎…
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jumba bovu angeanguashiwa JPM🙂Imagine angekufa kipindi cha JPM 😎…
Mimi nilitamani ingekuwa fisadi kikweteAliyewahi kuwa muwekezaji wa klabu ya Yanga SC na Mkurugenzi wa Quality Group Limited (QGL) Yusuf Manji amefariki dunia leo, Juni 30, 2024.
Taarifa zaidi kukujia....
Hiki nacho ni kijiwe kama vijiwe vingine, tofauti hiki hakina gahawa.. Taarifa zinavyoletwa, utadhani tupo kwenye vijiwe vya kahawa. 😐😐.
.
Umekosa kabisa maneno ya kiswahili hapa?Was he sick ? or an accident ?
😁😁😁Watu mnajua kujipendekeza walahi
Hizi sasa shobo, mnalazimisha undugu mpk na marehemu. 😂Mimi jina langu naitwa Yusuph , Leo imekuwa siku nzito Sana kwangu .
Nadhani that was a sign kuwa somo wangu anaondoka.
Notedwhen you go out for revenge prepare two graves,
Hizi sasa shobo, mnalazimisha undugu mpk na marehemu. 😂
BiatamuWhat is this madness