TANZIA Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani

TANZIA Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani

Naomba uhakiki kuhusu hili.
 

Attachments

  • Screenshot_20240630-205551.png
    Screenshot_20240630-205551.png
    341 KB · Views: 3
Hapa ndio Mungu alituletea usawa.

Uwe Tajiri sana, Uwe fukara sana.

Kukata moto kupo palepale.


Kumbe tukifa Mali zote tunaziacha, na kwamba wakati wa Kufa, Pesa haziwezi kuzuia huo mchakato.




Maana yake ni kwamba, Hata utoe Makafara uwe Tajiri, hata Udhulumu mtu, KUFA UTAKUFA TU.


SWALI NI JE..... UMEJENGA KWENU??? AU NDO UTAACHA WOSIA WA ,NIKIFA, MNIZIKE MAKABURI YA KINONDONI😂😂🥱
Yaani linapokuja suala la kifo usawa si na binadamu mwenzako tu, hata nguruwe na ukharamu wake au mbwa na uchafu wake nao wanakufa wanaoza. Nature haijali kuwa tutazikwa kaburini au pembeni ya nyumba ya kifahari uliyojenga au utatupwa porini.
 
Aliyewahi kuwa muwekezaji wa klabu ya Yanga SC na Mkurugenzi wa Quality Group Limited (QGL) Yusuf Manji amefariki dunia leo, Juni 30, 2024.

Taarifa zaidi kukujia....

Duniani tunapita tu hakuna cha jiwe, chuma wala nini.

Ametangulia Yusuph Manji, wafu watarajiwa tuko nyuma yao.

Who's next?

MK254, Kigogo Mzee na wale wengine, Tel Aviv pale kwa utambuzi.
 
Hapa ndio Mungu alituletea usawa.

Uwe Tajiri sana, Uwe fukara sana.

Kukata moto kupo palepale.


Kumbe tukifa Mali zote tunaziacha, na kwamba wakati wa Kufa, Pesa haziwezi kuzuia huo mchakato.




Maana yake ni kwamba, Hata utoe Makafara uwe Tajiri, hata Udhulumu mtu, KUFA UTAKUFA TU.


SWALI NI JE..... UMEJENGA KWENU??? AU NDO UTAACHA WOSIA WA ,NIKIFA, MNIZIKE MAKABURI YA KINONDONI😂😂🥱
Huyu manji atazikwa India, US au TZ? Muda utatujibu
 
Back
Top Bottom