TANZIA Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani

TANZIA Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani

Hapa ndio Mungu alituletea usawa.

Uwe Tajiri sana, Uwe fukara sana.

Kukata moto kupo palepale.


Kumbe tukifa Mali zote tunaziacha, na kwamba wakati wa Kufa, Pesa haziwezi kuzuia huo mchakato.




Maana yake ni kwamba, Hata utoe Makafara uwe Tajiri, hata Udhulumu mtu, KUFA UTAKUFA TU.


SWALI NI JE..... UMEJENGA KWENU??? AU NDO UTAACHA WOSIA WA ,NIKIFA, MNIZIKE MAKABURI YA KINONDONI😂😂🥱
Unajichekesha nini sasa kama fl
 
Back
Top Bottom