Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa na depression, nadhani hata unga alitumia.Au ni Unga...
Hana makuu,,,,,vipi GSM wana makuu🦅Yusuf manji alikua Ni tajiri asie kua na makuu MTU wa watuu
Masanja wa ze comedy na clue yao wote waliwai kuwekwa kwenye payroll list ya bosi manji
Alikua Ni bonge la deal maker kiungo mshambuliaji Kama vile Pele wa Brazil
Ni swali watakalokuwa wanaulizana wanaotujua wakati wa vifo vyetu sisi tuliobaki hai wakitufananisha na wenzetu wasijue kila mmoja saa itafika.Apumzike kwa amani
Au unamaanisha Aleem Manji
Ni ubinadamu. Ile hali ya kuwa kiumbe hai.Au ni Unga...overdose?!
Billionea naona kamfuata Magufuli alikoendaAliyewahi kuwa muwekezaji wa klabu ya Yanga SC na Mkurugenzi wa Quality Group Limited (QGL) Yusuf Manji amefariki dunia leo, Juni 30, 2024.
Taarifa zaidi kukujia....
Wabilah Taufiq Innai-lilah Wa-Innalilahi Rajiuni😭😭😭😭 Manji dah!
Unajichekesha nini sasa kama flHapa ndio Mungu alituletea usawa.
Uwe Tajiri sana, Uwe fukara sana.
Kukata moto kupo palepale.
Kumbe tukifa Mali zote tunaziacha, na kwamba wakati wa Kufa, Pesa haziwezi kuzuia huo mchakato.
Maana yake ni kwamba, Hata utoe Makafara uwe Tajiri, hata Udhulumu mtu, KUFA UTAKUFA TU.
SWALI NI JE..... UMEJENGA KWENU??? AU NDO UTAACHA WOSIA WA ,NIKIFA, MNIZIKE MAKABURI YA KINONDONI😂😂🥱
Yeah! ili kesi ikaendeshwe vizuri,ukute wakili wa JPM kahitaji uwepo wake...😁😁😁Billionea naona kamfuata Magufuli alikoenda
RIP
Wanaililah Wainalilahi RajihuniWhat? Mungu wangu! Manji nilikuwa namkubali sana jamani.
Apumzike kwa amani.
Yusuphu nani Bakhresa?Mimi jina langu naitwa Yusuph , Leo imekuwa siku nzito Sana kwangu .
Nadhani that was a sign kuwa somo wangu anaondoka.