TANZIA Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani

Hata mali zake na biashara zake ziliyumba vusasi siyo vizuri ndio maana wazungu wana msemo when you go out for revenge prepare two graves, ndio kilichotokea wote wamekufa
Sio ki hivyo. Nimesoma mahali amefia Marekani haliko kuwa anapatiwa matibabu. Alikuwa anaishi SA ambapo hospitali zao zipo vizuri. Kama amgekuwa hayupo vizuri angebaki kutibiwa SA lakini kafia Marekani ambapo matibabu ni bei za matibabu ni juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…