Sasa kama unajua mkataba ni siri mbona unauliza kiubishi kutaka kujua kama nimeuona Mkataba aliou sign?Mnataka wa Simba wa kazi gani? Mkataba ni siri kati ya watu wawili au pande mbili...nyie kuuleta hadharani ni matatizo yenu..na hata FG wakiamua kuwa sue huyo mwanasheria wenu wanaweza why aonyeshe mkataba wao hadharani?
Ndo maana hayo mambo yalikua kwny kamati huko ya usuluhishi...
Si umekuja kibishi kama ni haki yako kuujua mkataba...🙂🙂🙂Sasa kama unajua mkataba ni siri mbona unauliza kiubishi kutaka kujua kama nimeuona Mkataba aliou sign?
Wanapenda Sana ligi za maneno!Msiwape Air time hao mazuzu...maana hakuna kesi hapo wana mengi ya kujibu..wangenyamaza kuliko kujiabisha...
Labda washtakiane wao na FG sio Kagoma...
Mkuu Mbona unaturushia mate halafu ulicho andika hata ww mwenyewe huelewei umeandika niniKweli Utopolo wenye akili ni wawili Tu! Kwa hili la Yusuph kugomea kwenda Yanga na jinsi Utopolo wanavyohaha kisa sio Mchezaji bali ni kutaka kutunishiana misuli na Semaji la CAF kweli aliyesema huko wenye akili ni wawili Tu apewe maua yake. Angalia jinsi mapovu yanavyowatoka midomoni kisa sio Mchezaji bali eti kauli za Semaji la CAF ndio mijitu yote hiyo yanapambana na jeshi la mtu mmoja, loh! Mnatia aibu, mmeshakua sasa, mambo ya mipasho muwaachie Akina Mashauzi na Khadija Khopa. Kwani suala Hilo hamuwezi kuliendesha/ kulishughulikia bila kuita waandishi wa habari? Pu***vu zenu! tutoleeni utoto wenu! Mlikuwa wapi siku zote? Hii inaonyesha Semaji la CAF anawakera kiasi cha kukosa usingizi!
Simba Raha Sana! Jitu moja Tu la Simba linawakera! Kwa taarifa yenu hamtutoi relini kwenye mechi zetu za kimataifa, kwani ndio lengo lenu kipindi hili. Aluta continue! Simba mbele Kwa mbele! Kagoma kagoma kuja kwenye vyura!
Hakuna kipigo ulichompiga Mnyama ambacho ni kipya mnyama hajawahi kuwafirimba...Lakini makombe tunashinda na kipigo cha mbwa koko mnakipata
Mbona hata wakati wa Morison walitoa vielrlezo vyote na bado wakabwagaMkuu umeona taarifa ya Yanga ya leo?
Umeona zile nyaraka?
Namaanisha mikataba Yanga Vs FG, Yanga Vs Yusuf Kagoma?
Na dole gumba kaweka siyo saini pekee.bona
Kuna wakiume na mwanaumeUnakuta huu mpasho kaandika dume
Mheshimiwa, mwacheni kijana ajitafutie maisha. Suala lake halina sababu ya kuita waandishi, kuita waandishi mi sioni Kama ni msaada au tuseme Yanga inahitaji huruma ya jamii kwamba iwasaidie? Acheni hizoMkuu Mbona unaturushia mate halafu ulicho andika hata ww mwenyewe huelewei umeandika nini
Leo Bw. Patrick Simon Mwanasheria wa Yanga amewaonesha Waandishi wa Habari Mikataba yote miwili yaani Singida FG vs Yanga na Yanga vs Kagoma. Tena Bw. Kagoma ameweka na dole gumba kwenye hiyo contract. My take: Wachezaji wetu wa ndani wana shida sana katika uelewa wa Mikataba yaani Contract Management.Kuna mkataba umeona sign yake??
Amechungulia dish, ameona hakuna maslahi pale na pia ameogopa akimaliza mkataba atadhulumiwa Kama Akina Okrah, kwani utopolo ata FIFA wanaijua! kijana anaona mbali!Yani Yusuph amegoma kwenda Yanga? Na kwann agome kwenda Yanga?
Kwahy Yusuph akagoma 😂Amechungulia dish, ameona hakuna maslahi pale na pia ameogopa akimaliza mkataba atadhulumiwa Kama Akina Okrah, kwani utopolo ata FIFA wanaijua! kijana anaona mbali!
Mnataka kipya?Hakuna kipigo ulichompiga Mnyama ambacho ni kipya mnyama hajawahi kuwafirimba...
Ndio! Akagoma kwenda huko ! Sasa wanamtafuta! 🤣🤣Kwahy Yusuph akagoma 😂
Hadi kwa mzee magoma alikula za usoYanga wanapenda kesi ila Picha inaanza mwanasheria wao hajawahi kushinda kesi yoyote, kwanzia kwa Morison hadi Feisal
Huyo ni mwanasheria jina Tu, Hana lolote. Iwapo walishakamilisha mkataba na Kagoma kwanini akupeleka mkataba TFF Kwa usajili? Au alikuwa HAJUI Hilo adi dirisha linafungwa?Hadi kwa mzee magoma alikula za uso
Chama, Baleke, Mkude nasikia Fredi naye yupo mbioni.MAKOLO walishachanganyikiwa tangu wapigwe zile 5 kwa 0 wamekuwa wakihaha na kuansika Pumba kila kona
Yanga ilivyo ni ya kumtaka kiswaswadu yeyote kutoka Kolo kweli?
Mtaendelea kufungwa na kugombana wenyewe mpaka mwisho
Makolo mnachekesha kwelikweli 🤣🤣🤣🤣🤣
Rank ndiyo kombe ganiNa kwenye rank za caf hamuonekani
Na kwa subira hawajambo aiseeIla Watampata tu, mbona Chama wanaye? Wawe na subira.