Na kila mwananchi analipa VAT.Hivi hii ni kodi gani wanayozungumzia?
kuna PAYE kwa mfanyakazi
Kuna ushuru wa mazao kwa mkulima
kuna ushuru kwa mfugaji
Kuna kodi kibao kwenye LUKU
Kodi kibao kwenye petrol
Wafanyabiashara nao wana kodi zao...
Sasa hapa anasema ipi hailipwi?
Ndio nashangaa..labda watu wa CPA waje watupe somo..Na kila mwananchi analipa VAT.
Direct tax. Kodi ya moja kwa moja. Indirect tax zinalipwa na watanzania wote. Tax base ya direct tax inatakiwa kuongezeka, hii nchi direct tax inalipwa na watu wachache sana.kwamba watu mill 2 tu ndio wanalipa kodi wengine wote wakinunua bidhaa hua hazijaongezewa kodi ya VAT ? Au kodi ni ya PAYE(pay as you earn) peke yake ?
Kila mtanzania analipa kodiKamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika
Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini
====
My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.
ok, sasa hao wanaotakiwa kulipa direct tax ni kina nani? Na wapo wangap?Direct tax. Kodi ya moja kwa moja. Indirect tax zinalipwa na watanzania wote. Tax base ya direct tax inatakiwa kuongezeka, hii nchi direct tax inalipwa na watu wachache sana.
Matumizi ya kodi
Haelewi mambo ya kodi kapewa tu hicho cheoHivi hii ni kodi gani wanayozungumzia?
kuna PAYE kwa mfanyakazi
Kuna ushuru wa mazao kwa mkulima
kuna ushuru kwa mfugaji
Kuna kodi kibao kwenye LUKU
Kodi kibao kwenye petrol
Wafanyabiashara nao wana kodi zao...
Sasa hapa anasema ipi hailipwi?
Hawa wataalam wanakuwa na tafsiri zao, tusubir majibu ya CPA holdersHaelewi mambo ya kodi kapewa tu hicho cheo
Au ndio akili za kuwaza kodi ni mpaka paye na importation taxes au service levy Tu ?Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika
Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini
====
My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.ππ
View: https://www.instagram.com/p/C9mAfWGtK5h/?igsh=bWlvOTgxeDh5OW9q
Wenye uwezo hawapewi hicho cheoKila bidhaa inayoliwa nchi hii imepigwa kodi zaidi ya moja .
Huyu mpumbavu naye anapewa cheo cha TRA na hajui kwamba kila bidhaa inayotumika au kuliwa na hao watu milioni 60 ambao asilimia zaidi ya 70 ni hohehahe wa kutupwa nchini humu imepigwa Lundo la kodi .
Anajua kuliko wewe,hajaokotwa huyo amekulia humo TRAKila bidhaa inayoliwa nchi hii imepigwa kodi zaidi ya moja .
Huyu mpumbavu naye anapewa cheo cha TRA na hajui kwamba kila bidhaa inayotumika au kuliwa na hao watu milioni 60 ambao asilimia zaidi ya 70 ni hohehahe wa kutupwa nchini humu imepigwa Lundo la kodi .
Sio kweli Watz wengi wanalipa kodi (VAT) kupitia manunuzi ya bidhaa mbalimbali wanazotumia majumbani mwao. Pia wanalipa kupitia mitandao ya simu wanazotumia, Luku (Property tax). Huyu anajaribu kutupanga sasa akishindwa kukusanya VAT kutoka kwa wafanyabiasha wakubwa ambao hawapeleki makusanyo ya VAT iliyolipwa na watz. Hivyo kusema eti watz 2 million ndio wanaolipa kodi tu ni uongo wa wazi kabisa. Huduma nyingi zitolewazo kwa watz zinalipiwa kodi kwa njia moja ama nyingine.Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika
Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini
====
My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika
Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini.
Pia soma Kamishna Mkuu wa TRA bwana Yusuf Mwenda amewataka Wafanyabiashara wasirubuniwe na maofisa wachache wahuni wa TRA
====
My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.ππ
View: https://www.instagram.com/p/C9mAfWGtK5h/?igsh=bWlvOTgxeDh5OW9q%5B/
Sio lazima ajue idadi lakini kila mmoja analipa kodiKamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika
Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini.
Pia soma Kamishna Mkuu wa TRA bwana Yusuf Mwenda amewataka Wafanyabiashara wasirubuniwe na maofisa wachache wahuni wa TRA
====
My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.ππ
View: https://www.instagram.com/p/C9mAfWGtK5h/?igsh=bWlvOTgxeDh5OW9q