Chinese blade
JF-Expert Member
- May 15, 2023
- 337
- 366
Waambie hao .wanasiasa unaowatetea walipewa kodiWatanzania hamtaki kulipa Kodi ila mnadai maendeleo sijui mnayegemea yatatokea wapi.
Serikali ikikopa mnasema inakopa sana.
Serikali ikiwabana watu Walipe Kodi mnasema inawaonea , yaani hii Nchi Kila kitu lawama
Hivi unajua Ushuru Tozo mbali mbali zinazolipwa kwenye Halmashauri na Manispaa kila siku.Watanzania hamtaki kulipa Kodi ila mnadai maendeleo sijui mnayegemea yatatokea wapi.
Kodi hutozwa matajiri aka mabilionea. Masikini huwa hawatozwi kodi. Hii ndiyo kanuni kuu ya government taxation.Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika
Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini.
Pia soma hapa Tunduma: Rais Samia Awataka Wafanyabiashara Walipe Kodi na Tozo kuepuka mikopo. Asema Haziendi Kwenye Mifuko ya Viongozi
Kamishna Mkuu wa TRA bwana Yusuf Mwenda amewataka Wafanyabiashara wasirubuniwe na maofisa wachache wahuni wa TRA
====
My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.👇👇
Tunawatu milioni 2 kati ya milioni 62 wanaolipa kodi Tanzania. Sasa Kuna mzigo mkubwa unaobebwa na watu wachache halafu kusapoti zaidi ya asilimia 98 ambao hawalipi kodi na katika hao milioni mbili sio kila mmoja analipa kodi kila mwezi. Hivyo tulikaa chini ili kuona ni jinsi gani tunaweza kurahisisha usimamizi wa ulipaji kodi ili kuvutia walipaji kodi wengi na hata kupunguza baadhi ya viwango ambavyo hawa watu wanazilipa.
Tulishauri tuwe tunakaa kila robo ya mwaka ili kuhakikisha tunafanya assessment ya mazingira ya biashara hasa katika usimamizi wa mambo ya kodi" - Raphael Maganga - Mkurugenzi Mtendaji TPSF
Pamoja na kufulukuta kote serikali haijafikisha watumishi laki saba.Hakuna ukweli wowote hapo.
Kila mTz asiye na ajira rasmi analipa kodi indirect kupitia Vat.
Wafanya kazi na wafanya biashara wakubwa utaratibu unaeleweka.
Huo ndiyo ukweli🤔, labda atasaidia kuongeza taxes payee bas kwa kuwa amelijuwa hilo.View attachment 3046768
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha malalamiko ambayo kwenye mazingira ya kawaida yangeweza kuepukika
Akizungumza katika wa kikao kazi kilichowakutanisha TRA na viongozi wa wafanyabiashara Tanzania chini ya uratibu wa TPSF kilichofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Julai 18, 2024 Mwenda aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo hivi karibuni amesema mkakati alioingianao ofisini kwa sasa ni kuhakikisha namba ya walipa kodi inaongezeka nchini.
Pia soma hapa Tunduma: Rais Samia Awataka Wafanyabiashara Walipe Kodi na Tozo kuepuka mikopo. Asema Haziendi Kwenye Mifuko ya Viongozi
Kamishna Mkuu wa TRA bwana Yusuf Mwenda amewataka Wafanyabiashara wasirubuniwe na maofisa wachache wahuni wa TRA
====
My Take
Population structure ya Tanzania ni Pyramid in shape, tuna kundi kubwa la Vijana ambao sio wazalishaji Bali wategemezi.👇👇
Tunawatu milioni 2 kati ya milioni 62 wanaolipa kodi Tanzania. Sasa Kuna mzigo mkubwa unaobebwa na watu wachache halafu kusapoti zaidi ya asilimia 98 ambao hawalipi kodi na katika hao milioni mbili sio kila mmoja analipa kodi kila mwezi. Hivyo tulikaa chini ili kuona ni jinsi gani tunaweza kurahisisha usimamizi wa ulipaji kodi ili kuvutia walipaji kodi wengi na hata kupunguza baadhi ya viwango ambavyo hawa watu wanazilipa.
Tulishauri tuwe tunakaa kila robo ya mwaka ili kuhakikisha tunafanya assessment ya mazingira ya biashara hasa katika usimamizi wa mambo ya kodi" - Raphael Maganga - Mkurugenzi Mtendaji TPSF
Hata kama vijana ni %50 haondoi ukweli kuwa wanabebwa na %2 tu ya walipa kodi.Labda angesema direct tax ila indirect tax tunalipa wote mfano kwenye luku kila mtu anakatwa kodi, kununua bando la simu unakatwa kodi, kununua soda unakatwa kodi maana VAT ni shift able na tunaoilipa ni watumiaji wote wa mwisho.
So direct tax wanalipa million 2 ila indirect tax wanalipa zaidi ya million 30.
Kingine watu million 62 hawazalishi, mind you zaidi ya 50% ya waTanzania ni under 18 yaani watoto. So ilipaswa takwimu zake ziwe kwenye labor kwamba watu wangapi wanaozalisha hawalipi kodi. Utakuta wenye kazi au biashara ni million 10 pekee so takwimu zinakua tofauti na ukitoa general population
TRA ni wavivu kama walivyo TAKUKURU mpaka kiongozi aseme flani achunguzwe ndipo wanatoka ofisini kufanya kazi.Wapo wafanyabiashara kibao hawana TIN na hata LESENI hawana, wanachojua ni kulipa kodi ya mwenye nyumba basi.Huo ndiyo ukweli🤔, labda atasaidia kuongeza taxes payee bas kwa kuwa amelijuwa hilo.
Siyo wale wengine wanakomaa na hao 2 m badara ya kutanua wigi wa walipa kodi mika yote hawaongezeki.
Hiyo ni nzuri sana hakuna atakayekwepa kutoa rist.Na kila mwananchi analipa VAT.
M 3 ni wenye TIN; labda siyo kila mwenye TIN bado yuko active na analipaNadhani takwimu halisi walizowahi zitoa kabla ni M3.
Huelewi maana ya wengi na wakati gani neno wengi linatumika!!? Rudi darasani.Hao wengi ni wangapi? Wako wapi? Maana unasema tu wengi bila kusema ni ngapi na wako wapi