Yusuphu Manji Kuzikwa Leo Saa Tisa Frorida Marekani

Yusuphu Manji Kuzikwa Leo Saa Tisa Frorida Marekani

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ni kuwa aliyekuwa mfanyabiashara wa kimataifa na kiongozi na mdhamini wa klabu ya Yanga anatarajiwa kuzikwa leo muda wa saa Tisa Frorida Marekani.

Hiyo ni kwa mujibu wa mwanae na atazikwa pembezoni au karibu na kaburi la Baba yake.

Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.

Apumzike kwa Amani, Mungu amuangazie Mwanga wa milele.

Screenshot_20240701-122640_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ni kuwa aliyekuwa mfanyabiashara wa kimataifa na kiongozi na mdhamini wa klabu ya Yanga anatarajiwa kuzikwa leo muda wa saa Tisa Frorida Marekani.

Hiyo ni kwa mujibu wa mwanae.na atazikwa pembezoni au karibu na kaburi la Baba yake.

Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.

Apumzike kwa Amani , Mungu amuangazie Mwanga wa milele.View attachment 3030522

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ni kuwa aliyekuwa mfanyabiashara wa kimataifa na kiongozi na mdhamini wa klabu ya Yanga anatarajiwa kuzikwa leo muda wa saa Tisa Frorida Marekani.

Hiyo ni kwa mujibu wa mwanae.na atazikwa pembezoni au karibu na kaburi la Baba yake.

Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.

Apumzike kwa Amani , Mungu amuangazie Mwanga wa milele.View attachment 3030522

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Rip Yusuph Manji
😭😭😭
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ni kuwa aliyekuwa mfanyabiashara wa kimataifa na kiongozi na mdhamini wa klabu ya Yanga anatarajiwa kuzikwa leo muda wa saa Tisa Frorida Marekani.

Hiyo ni kwa mujibu wa mwanae.na atazikwa pembezoni au karibu na kaburi la Baba yake.

Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.

Apumzike kwa Amani , Mungu amuangazie Mwanga wa milele.View attachment 3030522

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe CHAWA utazikwa huku huku kwetu Mwandoya.

Unaowasifiaga kumbe huku wanakuja tu kuchuma!! Wewe utazikwa huku huku na uchawa wako
 
Back
Top Bottom