Yusuphu Manji Kuzikwa Leo Saa Tisa Frorida Marekani

Yusuphu Manji Kuzikwa Leo Saa Tisa Frorida Marekani

Ndugu zangu Watanzania,

Habari ni kuwa aliyekuwa mfanyabiashara wa kimataifa na kiongozi na mdhamini wa klabu ya Yanga anatarajiwa kuzikwa leo muda wa saa Tisa Frorida Marekani.

Hiyo ni kwa mujibu wa mwanae.na atazikwa pembezoni au karibu na kaburi la Baba yake.

Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.

Apumzike kwa Amani , Mungu amuangazie Mwanga wa milele.View attachment 3030522

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
R.I.P Yusuf
 
R.i.p japo mimi ni simba mchango wako kwa soka ulikuwa mkubwa sana engineer pale bwawani kwenu walau kwa miaka 5 ijayo paiteni hata manji stadium kuuenzi mchango wake baadae mtapatafutia jina jipya
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ni kuwa aliyekuwa mfanyabiashara wa kimataifa na kiongozi na mdhamini wa klabu ya Yanga anatarajiwa kuzikwa leo muda wa saa Tisa Frorida Marekani.

Hiyo ni kwa mujibu wa mwanae.na atazikwa pembezoni au karibu na kaburi la Baba yake.

Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.

Apumzike kwa Amani , Mungu amuangazie Mwanga wa milele.View attachment 3030522

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Habari ya msiba unachanganya na uchawa wako wewe ni mzima kichwani kweli?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ni kuwa aliyekuwa mfanyabiashara wa kimataifa na kiongozi na mdhamini wa klabu ya Yanga anatarajiwa kuzikwa leo muda wa saa Tisa Frorida Marekani.

Hiyo ni kwa mujibu wa mwanae.na atazikwa pembezoni au karibu na kaburi la Baba yake.

Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.

Apumzike kwa Amani , Mungu amuangazie Mwanga wa milele.View attachment 3030522

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ushimen pole kwa safari kiongozi. Natumai utawah maziko ya classmate wako.
 
Dege letu kubwa dream liner asingekuwa ameifilisi mama Yao Kwa safari zake zisizo na faida tungelipanda Wana yanga kwenda kumzika ndugu yetu huko Florida.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ni kuwa aliyekuwa mfanyabiashara wa kimataifa na kiongozi na mdhamini wa klabu ya Yanga anatarajiwa kuzikwa leo muda wa saa Tisa Frorida Marekani.

Hiyo ni kwa mujibu wa mwanae na atazikwa pembezoni au karibu na kaburi la Baba yake.

Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.

Apumzike kwa Amani, Mungu amuangazie Mwanga wa milele.

View attachment 3030522

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ndio maana tunasemaga akili huna! Wewe umeona kabisa pameandikwa Florida, wewe unaandika frorida. Yani huna ata basic skills za comprehension. Ndio maana kutwa kuandika ujingaujinga huna uwezo wa kuelewa vitu.
 
Back
Top Bottom