Yusuphu Manji Kuzikwa Leo Saa Tisa Frorida Marekani

Yusuphu Manji Kuzikwa Leo Saa Tisa Frorida Marekani

Ndugu zangu Watanzania,

Habari ni kuwa aliyekuwa mfanyabiashara wa kimataifa na kiongozi na mdhamini wa klabu ya Yanga anatarajiwa kuzikwa leo muda wa saa Tisa Frorida Marekani.

Hiyo ni kwa mujibu wa mwanae na atazikwa pembezoni au karibu na kaburi la Baba yake.

Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.

Apumzike kwa Amani, Mungu amuangazie Mwanga wa milele.

View attachment 3030522

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
sasa mambo ya mama yametokea wapi hapa? mbona unakua ndezi wewe?
 
Hivi hakuwa mtanzania au? Maana sidhani kama shida ni gharama za kusafirisha ilhali baba yake kazikwa huko huko.
Binafsi naona binadamu tumezidiwa hata na ndege linapokuja suala la kufurahia zawadi ya maisha. Ndege hawana mipaka, hawajui hapa ni moshi na pale ni mwanga wao popote kambi.
 
Bora walivyoamua kumzikia huko huko maana ingekuwa huku kungekuwa full shobo wanasiasa na wasanii kwenda kuuza sura.
Ukiona watu wanakwenda kwa wingi kwenye msiba wa mtu fulani ,ujuwe ni ishara ya kuwa mtu huyo aliishi vyema na watu,alipendwa na kushirikiana na watu wote pamoja na kugusa maisha ya wengi ambao wangetamani kuendelea kuwa naye na kuishi naye. Ni ishara ya kuwa alikuwa ni mtu wa watu .
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ni kuwa aliyekuwa mfanyabiashara wa kimataifa na kiongozi na mdhamini wa klabu ya Yanga anatarajiwa kuzikwa leo muda wa saa Tisa Frorida Marekani.

Hiyo ni kwa mujibu wa mwanae na atazikwa pembezoni au karibu na kaburi la Baba yake.

Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.

Apumzike kwa Amani, Mungu amuangazie Mwanga wa milele.

View attachment 3030522

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi nimesahau,Manji alikuwa Mtanzania kweli?Maana Mtanzania wa kweli kuzika Marekani,mm,sielewi.Tena worse baba yake naye alizikwa Marekani.Hawa jamaa bwana,you can never trust them.
 
Hivi nimesahau,Manji alikuwa Mtanzania kweli?Maana Mtanzania wa kweli kuzika Marekani,mm,sielewi.Tena worse baba yake naye alizikwa Marekani.Hawa jamaa bwana,you can never trust them.
Kaka kuna mahali nilipataga kusoma kijitabu fulani, kuna sentensi niliipata humo inayosema. Nanukuu.'spies comes in many shapes....'
 
Back
Top Bottom