Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Huyu "Mama yako" anahusika vipi na mazishi ya Manji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma ueleweHuyu "Mama yako" anahusika vipi na mazishi ya Manji?
sasa mambo ya mama yametokea wapi hapa? mbona unakua ndezi wewe?Ndugu zangu Watanzania,
Habari ni kuwa aliyekuwa mfanyabiashara wa kimataifa na kiongozi na mdhamini wa klabu ya Yanga anatarajiwa kuzikwa leo muda wa saa Tisa Frorida Marekani.
Hiyo ni kwa mujibu wa mwanae na atazikwa pembezoni au karibu na kaburi la Baba yake.
Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.
Apumzike kwa Amani, Mungu amuangazie Mwanga wa milele.
View attachment 3030522
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hata hivyo sidhani kama kuchukuwa uraia wa marekani ni sawa na kuukana wa Tanzania.Alishaukana Utanzania huyo.
Chalamila pia .Rip
Yanga tutawakilishwa na mh Tundu Antipas Lissu 🐼
Binafsi naona binadamu tumezidiwa hata na ndege linapokuja suala la kufurahia zawadi ya maisha. Ndege hawana mipaka, hawajui hapa ni moshi na pale ni mwanga wao popote kambi.Hivi hakuwa mtanzania au? Maana sidhani kama shida ni gharama za kusafirisha ilhali baba yake kazikwa huko huko.
Kama una hasira sana basi ungeondoka tu humu kimya kimya maana utapata presha na kufa vibaya na asiwepo wa kukukumbuka wala kukulilia.sasa mambo ya mama yametokea wapi hapa? mbona unakua ndezi wewe?
utakufa utaniacha ewe chawa.Kama una hasira sana basi ungeondoka tu humu kimya kimya maana utapata presha na kufa vibaya na asiwepo wa kukukumbuka wala kukulilia.
Tunaendelea kudunda na kutamba na CCM yetu inayoendelea kuwa kimbilio la mamilioni ya watanzania.utakufa utaniacha ewe chawa.
kuondoka siondoki mpaka tuwakamue mafuta machawa wote
Mchango upi ? Wa kushirikiana na majizi ya ccm kwenye tenda za serikali ?Mchango wa Marehemu Yusuphu Manji kwa Taifa letu kiuchumi ni mkubwa sana ukilinganisha na wewe mpiga domo.
Weka ushahidi na siyo kuropoka ropoka tu hapa kama mlevi wa gongo.Mchango upi ? Wa kushirikiana na majizi ya ccm kwenye tenda za serikali ?
Apumzike kwa amani
Ukiona watu wanakwenda kwa wingi kwenye msiba wa mtu fulani ,ujuwe ni ishara ya kuwa mtu huyo aliishi vyema na watu,alipendwa na kushirikiana na watu wote pamoja na kugusa maisha ya wengi ambao wangetamani kuendelea kuwa naye na kuishi naye. Ni ishara ya kuwa alikuwa ni mtu wa watu .Bora walivyoamua kumzikia huko huko maana ingekuwa huku kungekuwa full shobo wanasiasa na wasanii kwenda kuuza sura.
Mbona hujasema Familia yake itabubujikwa na machozi ya kurithi.Kwa hakika apumzike kwa Amani
Hivi nimesahau,Manji alikuwa Mtanzania kweli?Maana Mtanzania wa kweli kuzika Marekani,mm,sielewi.Tena worse baba yake naye alizikwa Marekani.Hawa jamaa bwana,you can never trust them.Ndugu zangu Watanzania,
Habari ni kuwa aliyekuwa mfanyabiashara wa kimataifa na kiongozi na mdhamini wa klabu ya Yanga anatarajiwa kuzikwa leo muda wa saa Tisa Frorida Marekani.
Hiyo ni kwa mujibu wa mwanae na atazikwa pembezoni au karibu na kaburi la Baba yake.
Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.
Apumzike kwa Amani, Mungu amuangazie Mwanga wa milele.
View attachment 3030522
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
mwandoya . Dah umenikumbusha pande za meatu mwanhuzi.Wewe CHAWA utazikwa huku huku kwetu Mwandoya.
Unaowasifiaga kumbe huku wanakuja tu kuchuma!! Wewe utazikwa huku huku na uchawa wako
Kaka kuna mahali nilipataga kusoma kijitabu fulani, kuna sentensi niliipata humo inayosema. Nanukuu.'spies comes in many shapes....'Hivi nimesahau,Manji alikuwa Mtanzania kweli?Maana Mtanzania wa kweli kuzika Marekani,mm,sielewi.Tena worse baba yake naye alizikwa Marekani.Hawa jamaa bwana,you can never trust them.