Yusuphu Manji Kuzikwa Leo Saa Tisa Frorida Marekani

Yusuphu Manji Kuzikwa Leo Saa Tisa Frorida Marekani

Hivi nimesahau,Manji alikuwa Mtanzania kweli?Maana Mtanzania wa kweli kuzika Marekani,mm,sielewi.Tena worse baba yake naye alizikwa Marekani.Hawa jamaa bwana,you can never trust them.
Ndio alikuwa mtanzania na ndio maana aliweza hadi kuwa Diwani.
 
Hata hivyo sidhani kama kuchukuwa uraia wa marekani ni sawa na kuukana wa Tanzania.

Pamoja na kwamba hakuna uraia pacha Tanzani, lakini watu hawaelewi hilo.
Easy Papa Manji.
Article don.
If you have two dollars, you will give away one.

Kupata uraia wa Marekani kuna kitu kinaitwa "Oath of Allegiance". Hiki ni kiapo cha utii ambacho kina maneno kwamba mla kiapo anaachana na allegiance ya nchi zote na kuweka allegiance Marekani.

Hiki kiapo ndicho kitu pekee kinachoweza kumfanya mtu aseme kuwa ukichukua uraia wa Marekani unaukana uraia wa nchi yako.

Lakini, State Department, Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, imefafanua kuwa watu wanaochukua uraia wa Marekani hawaukani uraia wao wa awali, wanabaki nao, Marekani haijali kuhusu uraia huo, suala la kama wanaendelea au hawaendelei kuwa raia wa nchi hizo, ni suala kati ya hao watu na hizo nchi, Marekani haihusiki katika hilo.

Zaidi, kuukana uraia wa Tanzania kunatakiwa kufanywa kwa process maalum, process hiyo ina form na ada ya kulipia. Kama mtu hajajaza hiyo form na kutoa hiyo ada, bado hajaukana uraia wa Tanzania.

Sasa, Manji alijaza hiyo form na kuilipia ada ya kuukataa uraia wa Tanzania?
 
Ukiona watu wanakwenda kwa wingi kwenye msiba wa mtu fulani ,ujuwe ni ishara ya kuwa mtu huyo aliishi vyema na watu,alipendwa na kushirikiana na watu wote pamoja na kugusa maisha ya wengi ambao wangetamani kuendelea kuwa naye na kuishi naye. Ni ishara ya kuwa alikuwa ni mtu wa watu .
Hivi kuzikwa na watu wengi kunasaidia nini,mbona hamna ni inventions tu za wanadamu.Bwana Yesu mwenyewe alizikwa na watu wawili tu:Nikodemu na Yusufu,and the Bible does not show us that he even attended a funeral!Alipo-ombwa na mmoja wa Mitume wake aende akamzike baba yake, alimuambia "waache wafu wazike wafu wao,meaning waache waovu wazike waovu wenzao,wewe twende tukahubiri Injili!"

Martha dada yake Lazaro alipomumbia Bwana Yesu rafiki yako Lazaro amekufa hakwenda,he went after four days akamfufua.What does Jesus' actions indicate.This indicate something very important.Our complete ignorance of what death really means,inatufanya tuthamini mazishi sana na tuwe na Imani za kijinga sana towards death and the dead.Tunajengea makaburi,tunawekea makaburi misalaba,tuna-observe vitu kama tatu na arubaini,tunaombee marehemu etc.etc.Infact most of these things are pagan,have nothing to do with God and have satanic roots and backgrounds.Mkristo wa kweli anayemuamini Kristo hawezi kufanya ujinga huo na kushangilia eti kuzikwa na watu wengi.It is very unspiritual.
 
Ukiona watu wanakwenda kwa wingi kwenye msiba wa mtu fulani ,ujuwe ni ishara ya kuwa mtu huyo aliishi vyema na watu,alipendwa na kushirikiana na watu wote pamoja na kugusa maisha ya wengi ambao wangetamani kuendelea kuwa naye na kuishi naye. Ni ishara ya kuwa alikuwa ni mtu wa watu .
acha pang'ang'a hapa bwana we. Kibongo bongo ukiwa na jina watu wanakuja kuuza sura tu sio kukupenda wala nini.
 
acha pang'ang'a hapa bwana we. Kibongo bongo ukiwa na jina watu wanakuja kuuza sura tu sio kukupenda wala nini.
Na huwezi ukawa na jina zuri kama unaishi vibaya na huna mahusiano mazuri na watu .lazima ukubali tu kuwa mpaka ufikie hatua ya kuwa na jina kubwa ni lazima uwe na misingi mizuri ambayo itakufanya watu wakuinue iwe ni kibiashara, kisiasa,kimuziki n.k.
 
Hivi nimesahau,Manji alikuwa Mtanzania kweli?Maana Mtanzania wa kweli kuzika Marekani,mm,sielewi.Tena worse baba yake naye alizikwa Marekani.Hawa jamaa bwana,you can never trust them.
Wewe umeshawahi kumuona Muhindi mwanajeshi Bongo?

Basi ujuwe kwao India wanalo jeshi.
 
Matendo yako ndio yatakayo kubeba .ikumbukwe ya kuwa utaambatana na matendo yako mpaka kaburini.
Ukijitathmini kauli na mwenendo wako hapa jf unahisi utaambatana na matendo gani na je hiki unachokifanya kila siku hapa jamvini unafikiri Mungu anapenda tabia za kinafiki?Ndugu yangu badilika kama ni njaa angalia namna nyingine ya kujitaftia kipato na sio kutumia muda wako kufanya upuuzi uliozowea kuuleta hapa yani we jamaa huwa unaniharibia mood kuliko maelezo basi tu
 
Na huwezi ukawa na jina zuri kama unaishi vibaya na huna mahusiano mazuri na watu .lazima ukubali tu kuwa mpaka ufikie hatua ya kuwa na jina kubwa ni lazima uwe na misingi mizuri ambayo itakufanya watu wakuinue iwe ni kibiashara, kisiasa,kimuziki n.k.
Wewe unaishi kwa uchawa siwezi bishana na wewe maana kazi yako kuu ni kusifia hata mavi yaonekane kama chocolate.
Kwaheri.
 
alikuwa muhindi lkn na fisadi btw. madeni yetu alilipa au nani mrithi wa madeni ayalipie ..
Hivi ubungo plaza ilisharudi serikalini? Au bado inasomeka kama mali ya Quality group? Ila Manji alikuwa master kwenye deal za hela, huyu labda umfananishe na Rostam tu ndiyo wanaweza kuendana, wajuvi wanasema Rostam level yake ni catholic church kwa michongo,au Aga khan.
 
Back
Top Bottom