Yusuphu Manji Kuzikwa Leo Saa Tisa Frorida Marekani

Umewahi hata kumjuwa Tabu Mangala au unabwabwaja tu
Cc: Mohamed Said
Mi sio muhenga mzee wangu sizungumzii siku wagombania uhuru wanaitumia yanga kama eneo la kupanga mipangoyao lakini wa.eusahau mchango wa yanga kwao hadi Leo wamewaacha kule mabondeni namzungumzia mtu wa soka sir manji nilimuona akiitoa yanga kutoka sehemu moja kuisogeza sehemu,sibwabwaji mama angu
 
Shwaini, Tabu Mangala alikuwa mwenyekiti wa Yanga unajuwa alifanya nini?
 
Hivi hakuwa mtanzania au? Maana sidhani kama shida ni gharama za kusafirisha ilhali baba yake kazikwa huko huko.

Taratibu za uislamu ni kuwa uzikwe unapofia, wengine hujifanya vichwa ngumu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…