SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,944
- 2,032
Mi sio muhenga mzee wangu sizungumzii siku wagombania uhuru wanaitumia yanga kama eneo la kupanga mipangoyao lakini wa.eusahau mchango wa yanga kwao hadi Leo wamewaacha kule mabondeni namzungumzia mtu wa soka sir manji nilimuona akiitoa yanga kutoka sehemu moja kuisogeza sehemu,sibwabwaji mama anguUmewahi hata kumjuwa Tabu Mangala au unabwabwaja tu
Cc: Mohamed Said
Hata sisi zamu yetu haipo mbaliUdongo Sio poa mkuu...unameza.
Shwaini, Tabu Mangala alikuwa mwenyekiti wa Yanga unajuwa alifanya nini?Mi sio muhenga mzee wangu sizungumzii siku wagombania uhuru wanaitumia yanga kama eneo la kupanga mipangoyao lakini wa.eusahau mchango wa yanga kwao hadi Leo wamewaacha kule mabondeni namzungumzia mtu wa soka sir manji nilimuona akiitoa yanga kutoka sehemu moja kuisogeza sehemu,sibwabwaji mama angu
Hivi hakuwa mtanzania au? Maana sidhani kama shida ni gharama za kusafirisha ilhali baba yake kazikwa huko huko.
Apumzike kwa amani