Dar express anazo Scania Marcopolo Viaggio 1050 gharama ya bus moja nikama milioni 900 bado ushuru na Kilimanjaro Express anazao pia macropolo za kawaidia katika historia ya mabus Tanzania ni Dar express tu ajawai nunua mchina na kwenye historia yake ameshawai kuwa na bus za scania na mercedez benzi zenye body ya Marcopol,Irzar na Dar Coach Body.Katika biashara kuna na ghari ya gharama nyingi unakaa nayo miaka 10 bila usumbufu na inakupa faida na kurudisha gharama zote ndio biashara nzuri,mabus mengi ya kichina baada ya mda wamiliki ubadili Injini na kuweka ya Scania,Gear Box na Deaf ndio siri watu wasio ijua,chines bus azidumu miaka miwili au mitatu mara nyingi wanabadilisha na kuvika injini ya scania,deaf na gear box hiyo ndio siri wengi awaijui.Nimepita kenya na uganda haya mabus ya kichina sio mengi huko kama huku.Pia kitu cha bei rahisi kina faida na hasara zake.Mfano mzuri mabus mengi ya Higer viti vyake sio rafiki kwa watu warefu,yutong na Zhongtong au Kinglion kidogo viti ni vizuri na pia hizi gari zinachoka sana mapema miaka miwili au mitatu ni mingi.Na mara nyingi mabus ya china yanayotengenezwa kwa soko la ulaya ni tofauti kabisa kiviwango wenzetu wana viwango walivyoweka vya bus liweje la safari fupi au safari ndefu,na ghararama ya hilo bus kwa viwango vya ulaya japo limetengenezwa china gharama zinakuwa kubwa sana karibu na kununua scania,man,volvo,mercedes,nissan,issuzu n.k.